Hivi nyie Utopolo nyuma mwiko unaleta shida? How comes TFF iombe radhi, kwa lipi?WATANZANIA
Pamoja na kushikwa na taharuki ya mliyoyafanya
Basi NENDEN kwenye press
Ombeen radhi kwa wananchi wote kwa upuuzi wenu
Hakuna aliefurahia hata mmojaa
Tulitarajia pamoja na mliyoyafanya mngeita waandishi WA habari Muombe radhi
Msiwe kimya kiasi hicho KUSHINDWA KUOMBA radhi
Hawatoshi kwa kila namna kwakifupi wako kama sanamu. (figure heads) kwahiyo usitegemee kuombwa msamaha Leo ni tarehe 11 -03-2025 siku 3 zimeshapita, TFF inaendeshwa kisiasa hadi hapo Jamii mafuvu yatakapo rudishiwa akiliWATANZANIA
Pamoja na kushikwa na taharuki ya mliyoyafanya
Basi NENDEN kwenye press
Ombeen radhi kwa wananchi wote kwa upuuzi wenu
Hakuna aliefurahia hata mmojaa
Tulitarajia pamoja na mliyoyafanya mngeita waandishi WA habari Muombe radhi
Msiwe kimya kiasi hicho KUSHINDWA KUOMBA radhi