TFF kilichoshindikana kwa Tuisila Kisinda kiliwezekana kwa Perfect Chikwende (double standard)

TFF kilichoshindikana kwa Tuisila Kisinda kiliwezekana kwa Perfect Chikwende (double standard)

Wewe mpumbavu unajua ITC inaombwa na chama cha soka nchi husika,kwanini tff waliridhia kumuombea ITC kisinda kutoka berkane then leo wageuke,na ikiwa kambole hajapeleka malalamiko yoyote tff?
Wewe ndio hujui hata unachokisema kwani ITC, ikiombwa, ni lazima huyo mchezaji acheze muda huo huo, wakati dirisha la usajiri la muda huo limeshafungwa??Wao tff walilidhia kumuombea hiyo kwani mwezi wa tisa kuanzia tarehe 15, si kuna dirisha dogo la usajiri?na ndilo Yanga wanatakiwa kulitumia.
Kuhusu kambole sio suala la eti hajalalamika, kanuni zipo wazi, yaani kuwe na upenyo mnatuma jina la mchezaji kuwa mmemsajiri baada ya siku mbili mnapata mwingine yule mnamkata, utaratibu wa wapi huo?!!tatizo la viongozi wa yanga ni mbumbumbu tu, kwani walishindwa nini kumuuza/kumpeleka kwa mkopo huyo kambole ili wamuingize huyo kisinda?!!
 
Dohhh mambo yanafanyika ki digital now amna tena mamno ya mibarua ilikuwa ni kitendo cha ku click button tu kwenye server kambole out kisinda in na kazi ingeishia apo apo simple tu ..sema kwakuwa wana ajenda zao binafsi na yanga ndio mahana
rejea ile kauli ya yule BWANA "Ukishindana na mamlaka wewe ndiye utakayeumia" ....tumeanza kuyashuhudia.
 
Yanga ilishamtoa kambole,hivi unajua kisinda ni hao tff wamemuombea ITC na ashapata,kuna sbb ambayo tff jana ndio wameamua kuikomoa Yanga kwenye hili suala na siwezi kuziweka hapa,lakini kabla ya hapo walikua bega kwa bega maana Yanga wako sahihi
Acha kuweka mahaba kwenye mambo ya msingi na ndio maana hao viongozi wenu wanawafanya kama mazombi tu!!kosa wafanye wao lakini mtaambiwa tff ndio chanzo.Eti yanga ilishamtoa kambole wapi?kanuni za CAF zipo wazi, ukishamsajiri mchezaji tena ukiwa ni usajiri mpya akishaingia kwenye mfumo, kumtoa humo ni pale tu atakaposajiriwa na timu nyingine ndio atahamishiwa huko na sio vinginevyo!!Tff wamemuombea kisinda ITC, kwa ajiri ya dirisha dogo litakalo anza tarehe 15.9.2022!!
 
Elewa concept ya mleta mada. Mfano wake hauhusiani na Covid na hata 2021 haikuhusiana na Covid. Anachoongelea ni Chikwende kuruhusiwa kucheza ndani na kumtoa Kahata kubaki na mashindano ya nje pekee. Hiki ndo Yanga walichokifanya kwa sasa kumtoa Kambole ndani na kumbakiza nje pekee kisha kumleta Kisinda ndani na nje badala yake. Tofauti unaiona wapi hapo?

Tofauti kisinda ni ndani na nje
 
Acha kuweka mahaba kwenye mambo ya msingi na ndio maana hao viongozi wenu wanawafanya kama mazombi tu!!kosa wafanye wao lakini mtaambiwa tff ndio chanzo.Eti yanga ilishamtoa kambole wapi?kanuni za CAF zipo wazi, ukishamsajiri mchezaji tena ukiwa ni usajiri mpya akishaingia kwenye mfumo, kumtoa humo ni pale tu atakaposajiriwa na timu nyingine ndio atahamishiwa huko na sio vinginevyo!!Tff wamemuombea kisinda ITC, kwa ajiri ya dirisha dogo litakalo anza tarehe 15.9.2022!!
Zombi hivi ushasikia tamko lolote kutoka kwenye uongozi Yanga?
 
Acha kuweka mahaba kwenye mambo ya msingi na ndio maana hao viongozi wenu wanawafanya kama mazombi tu!!kosa wafanye wao lakini mtaambiwa tff ndio chanzo.Eti yanga ilishamtoa kambole wapi?kanuni za CAF zipo wazi, ukishamsajiri mchezaji tena ukiwa ni usajiri mpya akishaingia kwenye mfumo, kumtoa humo ni pale tu atakaposajiriwa na timu nyingine ndio atahamishiwa huko na sio vinginevyo!!Tff wamemuombea kisinda ITC, kwa ajiri ya dirisha dogo litakalo anza tarehe 15.9.2022!!
Hio sheria umeinukuu wapi naomba uiweke hapa kwamba huwezi muacha mchezaji mpka apate timu?
 
Acha kuweka mahaba kwenye mambo ya msingi na ndio maana hao viongozi wenu wanawafanya kama mazombi tu!!kosa wafanye wao lakini mtaambiwa tff ndio chanzo.Eti yanga ilishamtoa kambole wapi?kanuni za CAF zipo wazi, ukishamsajiri mchezaji tena ukiwa ni usajiri mpya akishaingia kwenye mfumo, kumtoa humo ni pale tu atakaposajiriwa na timu nyingine ndio atahamishiwa huko na sio vinginevyo!!Tff wamemuombea kisinda ITC, kwa ajiri ya dirisha dogo litakalo anza tarehe 15.9.2022!!
''HII NCHI INA VIONGOZI WA MPIRA WAJINGA WAJINGA SANA'' - MECKY MEXIME
 
sasa kwanini KAHATA jina lake lilitolewa katika wachezaji wanaocheza ligi kuu?
Kwenye dirisha moja huwezi kufanyia usajili jina moja mara mbili yaani ummpe leseni mchezaji na kabla ya dirisha hilohilo kufungwa umtoe...kwa kahata na chikwende, kahata alisajiliwa dirisha kubwa akaja kutolewa kwenye dirisha dogo ila akacheza kimataifa tuu..dirisha moja kufanya sajili za namna hii haiwezekani..Yanga wanauwezo kufanya hivyo dirisha dogo likifunguliwa.kwa sasa walazimisha sheria kupindishwa kwa manufaa yao
 
Wabongo mnajifanya wajuaji sana, unadhani Yanga ni wajinga kupeleka majina bila kuainisha wepi ni wa ligi ya wandani na wepi ni ligi ya nje.

Taarifa ya Kisinda ilitumwa kwa barua ya maelezo
Ni wajinga sana tuu..walishafanyaga hivyo kwa mb33 na akawashinda cas na maadili..hao hao tena unawatetea kwenye hili..unafikiri cff hawana akili
 
Kwenye dirisha moja huwezi kufanyia usajili jina moja mara mbili yaani ummpe leseni mchezaji na kabla ya dirisha hilohilo kufungwa umtoe...kwa kahata na chikwende, kahata alisajiliwa dirisha kubwa akaja kutolewa kwenye dirisha dogo ila akacheza kimataifa tuu..dirisha moja kufanya sajili za namna hii haiwezekani..Yanga wanauwezo kufanya hivyo dirisha dogo likifunguliwa.kwa sasa walazimisha sheria kupindishwa kwa manufaa yao
Kuna wauza chai humu[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom