TFF Kuruhusu Siasa Michezoni ni Ushamba wa Hali ya Juu

TFF Kuruhusu Siasa Michezoni ni Ushamba wa Hali ya Juu

Mbona mnateseka Makolo,kipindi cha Jiwe na wakina Ndugai wanaketa siasa mpirani mbona mlikaa kimya?
 
Kuruhusu kumuita JK eti maazimisho ya Samia na kuharibu ratiba ya muda wa ligi na kuwatoa KMC kwenye mood ya mchezo sio jambo la haki. JK ni mwana Yanga sasa hapo ni sawa?
Naunga mkono hoja
Bullshit
 
Kwa nini asingetumia muda wa mapumziko kuhutubia ayo aliyozungumza maana mlengo ni umma uliojitokeza uwanjani.

Huu ni ujinga
 
Yanga ni timu ya wananchi,
KMC ni timu ya serikali,
Samia ni Rais wa nchi,
Kikwete ni Rais mstaafu
Uwanja ni wa serikali
TFF ni taasis ya serikali

Wewe kidampa wa makolo unaumia nini?
 
Back
Top Bottom