TFF kusema Fei Toto ni mchezaji halali wa Yanga haitoshi, itangaze adhabu kwa wahusika

TFF kusema Fei Toto ni mchezaji halali wa Yanga haitoshi, itangaze adhabu kwa wahusika

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
TFF ndio baba wa mpira Tanzania, ndicho chombo kikuu cha mpira nchini, ndio wenye mpira wao.
Kama TFF imethibitisha kuwa Fei Toto ni mali ya Yanga haitoshi kuishia hapo tu, bali lazima waseme ni nini kinafuata kwa wale wote (kama wapo) waliohusika na kufanya mazungunzo na mchezaji na hadi kumpa fedha za kuvunjia mkataba mchezaji mwenye mkataba hai na Yanga. Au hii ya kuwaadhibu watu waliohusika na kadhia hii ni kesi nyingine?
 
TFF ndio baba wa mpira Tanzania, ndicho chombo kikuu cha mpira nchini, ndio wenye mpira wao.
Kama TFF imethibitisha kuwa Fei Toto ni mali ya Yanga haitoshi kuishia hapo tu, bali lazima waseme ni nini kinafuata kwa wale wote (kama wapo) waliohusika na kufanya mazungunzo na mchezaji na hadi kumpa fedha za kuvunjia mkataba mchezaji mwenye mkataba hai na Yanga. Au hii ya kuwaadhibu watu waliohusika na kadhia hii ni kesi nyingine?
Ingawa kiuhalisia inaonekana kuna mtu yupo nyuma ya feisal ila so far hakuna uthibitisho wowote kuhusu ilo kwaiyo TFF haiwezi kushughulika na ilo sakata lilikuja mezani kwao ni malalamiko ya yanga kuhusu feisal kuvunja mkataba kihuni sasa kama yanga wana uthibitisho kuna back up nyuma ya feisal wanaweza kupeleka malalamiko mengine TFF
 
TFF ndio baba wa mpira Tanzania, ndicho chombo kikuu cha mpira nchini, ndio wenye mpira wao.
Kama TFF imethibitisha kuwa Fei Toto ni mali ya Yanga haitoshi kuishia hapo tu, bali lazima waseme ni nini kinafuata kwa wale wote (kama wapo) waliohusika na kufanya mazungunzo na mchezaji na hadi kumpa fedha za kuvunjia mkataba mchezaji mwenye mkataba hai na Yanga. Au hii ya kuwaadhibu watu waliohusika na kadhia hii ni kesi nyingine?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimwengu sas feisal yupo yanga kimkataba dogo amevunja mkataba kwa kutumia kipengele moja wapo cha kuvunja mkataba.

Hao viongoz nitawaona wanaakili if kuna kipengele kinasema kabla ya kuvunja mkataba tukae mezan tujadili ila kama hakuna kipengele cha mda au kipengele kinachoonesha mazingira ya kuvunja mkataba basi viongoz wanakosa weledi kweny kazi yao.
 
I wish Takukuru wangeuchunguza huo muamala wake ili kujua kama hizo hela zilitoka kwenye akaunti yake, au kuna mtu alimpa kinyume na utaratibu!

Na huyo mtu ndiyo angetiwa sasa matatani, ili iwe funzo.
 
Ingawa kiuhalisia inaonekana kuna mtu yupo nyuma ya feisal ila so far hakuna uthibitisho wowote kuhusu ilo kwaiyo TFF haiwezi kushughulika na ilo sakata lilikuja mezani kwao ni malalamiko ya yanga kuhusu feisal kuvunja mkataba kihuni sasa kama yanga wana uthibitisho kuna back up nyuma ya feisal wanaweza kupeleka malalamiko mengine TFF
Kazi ya kujua nani yuko nyuma ya mchezaji sio ngumu kama unavyotaka ijulikane. Ni kazi ya dk 4 tu kwa
1. TAKUKURU
2. TCRA kukagua simu ya Fei ilikuwa inawasiliana na akina nani kuhusu nini.
3. Bank transfer kuona ile 112m ilitoka kwenye account ipi kwenda kwenye account ya yanga.
4. Ushahidi wa mazingira, tukio kutokea siku chache kabla ya Yanga vs timu ipi, yaani Fei alitakiwa asicheze kwenye mechi ipi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimwengu sas feisal yupo yanga kimkataba dogo amevunja mkataba kwa kutumia kipengele moja wapo cha kuvunja mkataba.

Hao viongoz nitawaona wanaakili if kuna kipengele kinasema kabla ya kuvunja mkataba tukae mezan tujadili ila kama hakuna kipengele cha mda au kipengele kinachoonesha mazingira ya kuvunja mkataba basi viongoz wanakosa weledi kweny kazi yao.
Mikataba yote ya wachezaji haiwezi kwenda beyond ya kanuni za TFF na FIFA, duniani kote hakuna mchezaji anaweza kuhama timu akiwa na mkataba kwenda timu nyinge kwa njia hii aliyotaka kuitumia kijana wetu. Atuambie ni kipengele gani cha FIFA kinaruhusu mchezaji kuvunja mkataba kwa njia hii. Yaani mchezaji hajatangaza mgogoro wowote dhidi ya timu yake, hata TFF haina habari kama mchezaji ana shida na klabu yake, wala Yanga haijavunja kanuni yoyote ya kwenye mkataba wa mchezaji. Ingekuwa hivyo hata Real Madrid wangeshamchukua Mbappe, Simba wangeshamchukua Mansoki, Yanga wangeshaondoka na Akammiko.

Ifahamike kuwa mikataba yote ya kazi duniani lazima kiwepo kifungu kinachohusu namna ya kuvunja mkataba kwa pande zote mbili za mwajili na mwajiliwa.
 
Kazi ya kujua nani yuko nyuma ya mchezaji sio ngumu kama unavyotaka ijulikane. Ni kazi ya dk 4 tu kwa
1. TAKUKURU
2. TCRA kukagua simu ya Fei ilikuwa inawasiliana na akina nani kuhusu nini.
3. Bank transfer kuona ile 112m ilitoka kwenye account ipi kwenda kwenye account ya yanga.
4. Ushahidi wa mazingira, tukio kutokea siku chache kabla ya Yanga vs timu ipi, yaani Fei alitakiwa asicheze kwenye mechi ipi?
Sawa lakini ndo hakuna malalamiko ambayo TFF imeyapokea kutoka yanga kwamba mchezaji wao anashawishiwa isivyo halali. Kama TFF ikipokea malalamiko ndo itafuata izo izo njia ulizpzitaja. Sakata lilikofikishwa TFF kutoka yanga ni malalamiko ya feisal kudai kavunja mkataba wakati njia alizotumia sio halali. Ikionekana kuna haja ya kuchunguza nani yupo nyuma ya feisal iyo sasa ni kesi nyingine
 
Roho mbaya imekukolea.
Wewe na ukoo wako mutafaidika na nini?
Sisi tumeshapita level ya njaa za matumbo yetu, familia au ukoo, tuko kwenye level ya njaa ya taifa. Hili ni tukio la kwanza la aina yake hata tanzania na pengine hata afrika. TFF lazima walihukumu vizuri na kwa weledi kwakuwa maamuzi ya tatizo hili yatategemewa sana huko mbeleni kutatua matukio mengine yatakayofanana na hili kama yakijitokeza (presidency). Ndio maana sisi wengine tumelishikia bango hadi tuone mwisho wake ili kuepuka double standard huko mbele ya safari. Hii kesi itarejelewa sana huko mbele ya safari maana vijana wetu siku hizi wanatafuta njia ya mkato kuwa matajiri, usione ajabu vijana wengine wakaiga alichofanya Fei kutokana na aina ya maamuzi yatavyokuwa kwa Fei.
 
Mikataba yote ya wachezaji haiwezi kwenda beyond ya kanuni za TFF na FIFA, duniani kote hakuna mchezaji anaweza kuhama timu akiwa na mkataba kwenda timu nyinge kwa njia hii aliyotaka kuitumia kijana wetu. Atuambie ni kipengele gani cha FIFA kinaruhusu mchezaji kuvunja mkataba kwa njia hii. Yaani mchezaji hajatangaza mgogoro wowote dhidi ya timu yake, hata TFF haina habari kama mchezaji ana shida na klabu yake, wala Yanga haijavunja kanuni yoyote ya kwenye mkataba wa mchezaji. Ingekuwa hivyo hata Real Madrid wangeshamchukua Mbappe, Simba wangeshamchukua Mansoki, Yanga wangeshaondoka na Akammiko.

Ifahamike kuwa mikataba yote ya kazi duniani lazima kiwepo kifungu kinachohusu namna ya kuvunja mkataba kwa pande zote mbili za mwajili na mwajiliwa.
Weka hapa hivyo vifungu vya fifa mkuu ili tusome wote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimwengu sas feisal yupo yanga kimkataba dogo amevunja mkataba kwa kutumia kipengele moja wapo cha kuvunja mkataba.

Hao viongoz nitawaona wanaakili if kuna kipengele kinasema kabla ya kuvunja mkataba tukae mezan tujadili ila kama hakuna kipengele cha mda au kipengele kinachoonesha mazingira ya kuvunja mkataba basi viongoz wanakosa weledi kweny kazi yao.
Kuvunja mkataba ni makubaliano ya pande mbili mkuu ndo ipo ivyo kisheria yaani iyo unatakiwa kuijua automatically bila kuambiwa au kuandikiwa popote. Ukipewa matwaka ya kuvunja mkataba iyo ni kurahisisha kazi tu ili mtakapokubaliana uondoke kusiwe na mambo ya kuwekeana vikwazo vingine mfano kutaja bei kubwa. Release clause haimaanishi kwamba muda wowote mchezaji anaweza kuilipa tu akaondoka. Hata mchezaji akiwa na iyo hela ya kununua mkataba wake ni lazima na timu yake ikubali kama timu yake ikikataa kwa kuona sio wakati sahihi kumwachia mchezaji basi mchezaji atalazimika kuendelea kutumikia mkataba wake.
 
Sawa lakini ndo hakuna malalamiko ambayo TFF imeyapokea kutoka yanga kwamba mchezaji wao anashawishiwa isivyo halali. Kama TFF ikipokea malalamiko ndo itafuata izo izo njia ulizpzitaja. Sakata lilikofikishwa TFF kutoka yanga ni malalamiko ya feisal kudai kavunja mkataba wakati njia alizotumia sio halali. Ikionekana kuna haja ya kuchunguza nani yupo nyuma ya feisal iyo sasa ni kesi nyingine
TFF lazima wachunguze zaidi hata bila ya kuletewa na Yanga, kwakuwa kesi hii ni ya aina yake kutokea, na maamuzi yake yatatengeneza reference kwa kesi nyingine za aina hii, lakini keii hii inaweza kuwa ni chanzo kizuri cha fedha kwa TFF pia. Wahalifu wanaweza kutozwa faini kubwa ambayo inaenda kusaidia kuendesha mpira wetu. Hivyo, hata TFF wana maslahi na kesi hii. Ninavyojuwa mimi, kama Yanga ndio ingekuwa inatuhumiwa kumrubuni mchezaji wa timu fulani sasa hivi TFF ingekuwa imeshamtambua mhalifu na hukumu ingeshakuwa imetolewa zamaniiiiiii
 
TFF lazima wachunguze zaidi hata bila ya kuletewa na Yanga, kwakuwa kesi hii ni ya aina yake kutokea, na maamuzi yake yatatengeneza reference kwa kesi nyingine za aina hii, lakini keii hii inaweza kuwa ni chanzo kizuri cha fedha kwa TFF pia. Wahalifu wanaweza kutozwa faini kubwa ambayo inaenda kusaidia kuendesha mpira wetu. Hivyo, hata TFF wana maslahi na kesi hii. Ninavyojuwa mimi, kama Yanga ndio ingekuwa inatuhumiwa kumrubuni mchezaji wa timu fulani sasa hivi TFF ingekuwa imeshamtambua mhalifu na hukumu ingeshakuwa imetolewa zamaniiiiiii
Jinai haiozi mkuu kama ikionekana kuna haja ya kuchunguza zaidi watafanya ivyo, kwa sasa jambo la muhimu ilikua ni kutolea ufafanuzi suala la feisal vs yanga na ndicho walichokifanya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimwengu sas feisal yupo yanga kimkataba dogo amevunja mkataba kwa kutumia kipengele moja wapo cha kuvunja mkataba.

Hao viongoz nitawaona wanaakili if kuna kipengele kinasema kabla ya kuvunja mkataba tukae mezan tujadili ila kama hakuna kipengele cha mda au kipengele kinachoonesha mazingira ya kuvunja mkataba basi viongoz wanakosa weledi kweny kazi yao.
Yaani We hujui kuvunja mkataba ni agreement???

KONYO
 
Back
Top Bottom