TFF kutangaza Waamuzi wa ndani ya uwanja bila waamuzi wa VAR haijakaa Sawa..

TFF kutangaza Waamuzi wa ndani ya uwanja bila waamuzi wa VAR haijakaa Sawa..

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Mwishoni mwa msimu wa ligi uliopita tuliambiwa Sasa waamuzi watasaidiwa na teknolojia saidizi ya Uamzi (VAR), lakini Jana orodha ya waamuzi wa Mechi zote 2 imetoka na hatuoni wataalamu VARs. Je bado haziko tayari japokuwa AZAM TV walishatuonyesha ziko tayari? Au uwepo wake unahitaji utashi wa viongozi?
 

Attachments

  • 20240807_074649.jpg
    20240807_074649.jpg
    141.5 KB · Views: 4
Nchi ngumu hii , anyway subiri tuone
 
Naona Kuna kadi nyekundu,ila Simba tukishinda hii mechi tutakuwa na bahati sana nimejaribu kuidadavua timu yangu nimegundua Kuna mapungufu makubwa.
 
Back
Top Bottom