TFF kuwatia nguvuni washabiki wa Yanga watakaobeba mabango kuikashifu serikali kesho dhidi ya Ngaya

TFF kuwatia nguvuni washabiki wa Yanga watakaobeba mabango kuikashifu serikali kesho dhidi ya Ngaya

Basi kesho tunaomba manji alete gari zake zote wanaYanga+mimi wa Msimbazi tuwepo wote ili tuoshe magari ya Manji vizuri kwa raha mustarehe bila kumsahau Muzee MUZIMA MUTU MKUBWA MUTU YA WATU, MUTU MUNENE MUZEE 'GWAJIMA' asikose uwanjani akiambatana na ileile kwaya yake ya UFUFUO NA UZIMAAAA.

AKHSANTENI SANA.
 
Shirikisho la soka Tanzania TFF, limesema litawatia nguvuni kwa mujibu wa sheria na taratibu mashabiki watakaoikashifu serikali ama uongozi wa shirikisho hilo kwa kuingia na mabango uwanjani yenye jumbe tofauti hapo kesho katika mchezo wa kimataifa wa klabu bingwa Afrika kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Ngaya ya nchini Comoro.

KWATARIFA ZENU KESHO WANAYANGA WOTE TUTAINGIA NA STAILI MPYA YA KUSHANGILIA UWANJA MZIMA KESHO TUTAANZA KUIMBA PEOPLES POWER PEOPLES POWER MARUFUKU KWA MWANA YANGA KUIMBA CCM CCM KUANZIA SASA NI PEOPLES POWER
 
Basi waandike hivi
"YANGA NI KAMA JPM HAPA KAZI TU"

"NGAYA KARIBUNI KWENYE IMAYA YA WATUMBUAJI"
 
Hii ni ajabu kwa shirikisho la soka kuwachagulia wapenzi wa klab jinsi ya kushangilia timu yao
 
IMG-20160808-WA0067.jpg
 
Tanzania nchi yangu nani kailoga? Badala ya uachie watu waseme ya moyoni na ujifunze kupitia kwao basi unawazuia wasiseme ili kwa namna moja au nyingine ujirekebishe. Duh Mungu wangu tanzania nchi yangu kuna mdudu gani yupo hapa tanzania? Maana kero nyingine bora uishi nchi za kivita kuliko tz
 
hii serikali mbna shauku nyingi wajiulize wanakosea wapi.watz tupo milion 45 tukaamua tumchague mzee wa twafaaaa,katelelo daahh
 
Back
Top Bottom