TFF kuwatia nguvuni washabiki wa Yanga watakaobeba mabango kuikashifu serikali kesho dhidi ya Ngaya

TFF kuwatia nguvuni washabiki wa Yanga watakaobeba mabango kuikashifu serikali kesho dhidi ya Ngaya

Si waseme tu kwamba hakuna kuingia na mabango yanayo muhusu mwenyekiti wao Manji?
Thubutu...nimenunua
c96bb94741013c64ba136c10fbdd373a.jpg
83bd6e26283104e2d51fdb967b7f4328.jpg
 
Interegensia ya tffccm imebaini kutakuwa na mabango kesho,tffccm tulieni kesho watu wanyweshwe dawa,wakikusanyika vituo vya polisi wawekwe ndani na kwenye viwanja vya michezo wawekwe ndani,sasa hii nchi tunaenda wapi,Kamanda wa kanda maalumu andaa makarandinga kesho ya kusomba watu na keshokutwa magari taka kwa ajiri ya kusomba viti,yatakuwa maandalizi tosha ya "ULIPO TUPO",kama kweli tffccm mtakuwa mmetengeneza mazingira ya fujo na kujiandaa kufungiwa kwa michezo ya kimataifa.
 
Watanzania jaribuni kufuatilia mambo hizo ni regulations za FIFA unaeweza kugoogle
 
Basi kesho tunaomba manji alete gari zake zote wanaYanga+mimi wa Msimbazi tuwepo wote ili tuoshe magari ya Manji vizuri kwa raha mustarehe bila kumsahau Muzee MUZIMA MUTU MKUBWA MUTU YA WATU, MUTU MUNENE MUZEE 'GWAJIMA' asikose uwanjani akiambatana na ileile kwaya yake ya UFUFUO NA UZIMAAAA.

AKHSANTENI SANA.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]....you made my day
 
  • Thanks
Reactions: 999
Shirikisho la soka Tanzania TFF, limesema litawatia nguvuni kwa mujibu wa sheria na taratibu mashabiki watakaoikashifu serikali ama uongozi wa shirikisho hilo kwa kuingia na mabango uwanjani yenye jumbe tofauti hapo kesho katika mchezo wa kimataifa wa klabu bingwa Afrika kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Ngaya ya nchini Comoro.

safi sana TFF kwa kutekeleza matakwa ya mabwana zenu
 
Mtu mzima kujishtukia ni aibu kubwa..sometime unakausha tuu hata kama umejamba mbele za watoto
 
Shirikisho la soka Tanzania TFF, limesema litawatia nguvuni kwa mujibu wa sheria na taratibu mashabiki watakaoikashifu serikali ama uongozi wa shirikisho hilo kwa kuingia na mabango uwanjani yenye jumbe tofauti hapo kesho katika mchezo wa kimataifa wa klabu bingwa Afrika kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Ngaya ya nchini Comoro.

Mkuu hapa kama umetupotosha sio mashabiki wa yanga ni mashabiki wote ambao watafanya hivyo
 
Jamal Malinzi ni MwanaCCM

Yusuf Manji ni MwanaCCM.


Nadir Haroub Cannavaro pia ni Kada wa CCM


Wanaogopa kupata aibu na kukoromewa na Mwenyekiti wao wa CCM Taifa!
 
"I wish i could be IGP"-kaka mkubwa.
[emoji23][emoji23] naona JWTZ linaweza likashushwa kukamata mabango tu maana siasa kila sehemu sasa.
 
Back
Top Bottom