ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Hivi sasa hivi tuko nafasi ya ngapi jama? Hatujaporomoka kweli?
Maana siku hizi hata sishtuki nikisia kuna mechi ya Stars.
Jamani upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sasa hivi tuko nafasi ya ngapi jama? Hatujaporomoka kweli?
Maana siku hizi hata sishtuki nikisia kuna mechi ya Stars.
Kuna watu wanalijua soka balaa hapa tz; hv kwanini TFF hamuwachukui vijana wale kama washauri naamini mkiwatumia mtafaidika mfano hawa shafii dauda, edga kibwana, issa maeda. Hawa jamaa wanaujua mpira nyinyi TFF kama hamuwaoni shaurizenu.