TFF mmeruhusu siasa za CCM kwa Mkapa, leo msiwaonee CHADEMA

TFF mmeruhusu siasa za CCM kwa Mkapa, leo msiwaonee CHADEMA

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Uwanja wa Mkapa kwa muda mrefu Sana umekuwa ni kama jukwaa la CCM la kufanyia siasa zake wakati wa mechi za Mpira wa miguu.

Imekuwa ni kawaida Kwa Wana CCM kuingia uwanjani hapo na mabango ya chama Chao au hata wakati mwingine wakiwa wamevaa sare za chama Chao.

Hayo yote yakiendelea huku TFF ikikaa kimya il Hal inajua fika kwamba FIFA imepiga marufuku siasa kwenye Kandanda.

Leo na CHADEMA nao wameingia na bango la Mwenyekiti wa Taifa uwanjani kwa Mkapa tayari nasikia fununu kuwa taharuki imetokea ndani ya TFF.

Kama mliwakalia kimya CCM, Leo msipanik kuona CHADEMA wamekuja na bango la Mwenyekiti Mbowe uwanjani.

Hao hapo makanda wa CHADEMA na bango lao Leo hii kwa Mkapa.
 
Huwezi kumzuia anayependwa .Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.Anapendwa na watanzania mpaka wanabubujikwa na machozi ya furaha
Screenshot_20240802-154701_1.jpg
Screenshot_20240718-222437_1.jpg
Screenshot_20240718-205347_1.jpg
IMG-20240804-WA0057.jpg
 
Wataleta fujo sasa kwenye mpira......TFF wakemee ingawa wao pia machawa pro max wa ......wanatamani waongezewe muda ajili Afcon 2027.....njaa mbaya sana ....kibri kibaya wanadhani bila wao afcon haitafana sio kweliii
 
Uwanja wa Mkapa kwa muda mrefu Sana umekuwa ni kama jukwaa la CCM la kufanyia siasa zake wakati wa mechi za Mpira wa miguu.

Imekuwa ni kawaida Kwa Wana CCM kuingia uwanjani hapo na mabango ya chama Chao au hata wakati mwingine wakiwa wamevaa sare za chama Chao.

Hayo yote yakiendelea huku TFF ikikaa kimya il Hal inajua fika kwamba FIFA imepiga marufuku siasa kwenye Kandanda.

Leo na CHADEMA nao wameingia na bango la Mwenyekiti wa Taifa uwanjani kwa Mkapa tayari nasikia fununu kuwa taharuki imetokea ndani ya TFF.

Kama mliwakalia kimya CCM, Leo msipanik kuona CHADEMA wamekuja na bango la Mwenyekiti Mbowe uwanjani.

Hao hapo makanda wa CHADEMA na bango lao Leo hii kwa Mkapa.
CCM ni wana michezo pia,
na Dr Samia Suluhu Hassan ni kipenzi kwenye michezo na kwa waTanzania wote...

CCM pia wana mahaba, na ni mashabiki wa mpira wa miguu nchini, kwani kuna tatizo lolote gentleman 🐒
 
Wataleta fujo sasa kwenye mpira......TFF wakemee ingawa wao pia machawa pro max wa ......wanatamani waongezewe muda ajili Afcon 2027.....njaa mbaya sana ....kibri kibaya wanadhani bila wao afcon haitafana sio kweliii
Huwezi kua mwenyekiti au Rais wa TFF bila kua mwanachama
 
Ila wana Yanga hawampendi.
Tunampenda sana tena sana ,tumchukie kwa sababu zipi ? Yanga inapenda maendeleo na samia ni mpenda maendeleo na anapenda michezo ndio maana unaona hta leo yanga tunaishi kitajiri wewe vipi
 
Back
Top Bottom