Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashe nini kinaendelea huko?!Msisahau huko UK kimenuka 🐼
Yupo anatengenezewa "Script" atoke kivingine...😜😄😃Lucas mmeamua kumpoteza konda boy wiki ya tatu haonekani
Hamna kitu ambacho sio jukwaa kwa sasa .Uwanja wa Mkapa kwa muda mrefu Sana umekuwa ni kama jukwaa la CCM la kufanyia siasa zake wakati wa mechi za Mpira wa miguu.
Imekuwa ni kawaida Kwa Wana CCM kuingia uwanjani hapo na mabango ya chama Chao au hata wakati mwingine wakiwa wamevaa sare za chama Chao.
Hayo yote yakiendelea huku TFF ikikaa kimya il Hal inajua fika kwamba FIFA imepiga marufuku siasa kwenye Kandanda.
Leo na CHADEMA nao wameingia na bango la Mwenyekiti wa Taifa uwanjani kwa Mkapa tayari nasikia fununu kuwa taharuki imetokea ndani ya TFF.
Kama mliwakalia kimya CCM, Leo msipanik kuona CHADEMA wamekuja na bango la Mwenyekiti Mbowe uwanjani.
Hao hapo makanda wa CHADEMA na bango lao Leo hii kwa Mkapa.
Umesoma kuwa FIFA hawataki siasa kwenye Kandanda!!Hamna kitu ambacho sio jukwaa kwa sasa .
1.Magazet
2.Polisi
3.Bunge
4.Mahajana
5 na sasa Soka
Hao watoto nao ni wapiga kura?Huwezi kumzuia anayependwa .Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.Anapendwa na watanzania mpaka wanabubujikwa na machozi ya furaha View attachment 3061599View attachment 3061600View attachment 3061601View attachment 3061602
Ni wazi najua kabisa, sijamaanisha kuwa naunga mkono , nimeongeza vitu VINGINE ambavyo vimekuwa politicizedUmesoma kuwa FIFA hawataki siasa kwenye Kandanda!!
Huyo Lucas Mwashambwa yupo hapo Kwa kazi maalum... Bora mkono uende kinywani.Hao watoto nao ni wapiga kura?
Endeleeni kuwewesekaHuyo Lucas Mwashambwa yupo hapo Kwa kazi maalum... Bora mkono uende kinywani.
Kazini kwake ndiyo hapa JF.
Naona mnateseka mpaka mnatia huruma kama mtoto aliyetelekezwa.Hao watoto nao ni wapiga kura?
Sawa chawaboi msambwanda ila wewe si chawa wa kwanza humu jfNaona mnateseka mpaka mnatia huruma kama mtoto aliyetelekezwa.
Ukisikia WANANCHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII, Ndio hawa hapa. Baada ya kumpokea Muheshimiwa, jioni walikuwa kwenye runinga kuangalia timu yao ikimadhibu mzambia. HahahaaaaaaHuwezi kumzuia anayependwa .Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.Anapendwa na watanzania mpaka wanabubujikwa na machozi ya furaha View attachment 3061599View attachment 3061600View attachment 3061601View attachment 3061602