TFF mmeruhusu siasa za CCM kwa Mkapa, leo msiwaonee CHADEMA

TFF mmeruhusu siasa za CCM kwa Mkapa, leo msiwaonee CHADEMA

Kaka, mfumo utabadilika kama masikini wakionekana wanabadilika. Ht kama ni Mimi ndio karia lazima ningeungana na mama
 
Ni kawaida yetu kufanya siasa kila mahala ndio maana pia tunafail kila mahala maana fikra zetu ziko kwenye uchaguzi kwenye kila tunachokifanya.

Sijaona ulazima wa Simba day sijui Yanga day Rais kupiga simu, hii ni dalili yakutokuwa serious na mambo ya msingi na kujikita kwenye publicity ili kushinda uchaguzi.

Simba day sijui Yanga day muda woote anatajwa Rais kwa kupambwa kana kwamba ni jukwaa la kampeni za kisiasa.

Ilitosha kabisa Waziri wa michezo, na RC wa Dar es salaam ndio wawe wageni rasmi na hata kama VC atakuja basi awe tu kama mshabiki apewe Heshima yake jukwaa kuu.

Kifupi CCM wameshaanza kampeni kabla uchaguzi haujaanza na kwasasa kila mahala ni siasa za uchaguzi 2025.
 
Uwanja wa Mkapa kwa muda mrefu Sana umekuwa ni kama jukwaa la CCM la kufanyia siasa zake wakati wa mechi za Mpira wa miguu.

Imekuwa ni kawaida Kwa Wana CCM kuingia uwanjani hapo na mabango ya chama Chao au hata wakati mwingine wakiwa wamevaa sare za chama Chao.

Hayo yote yakiendelea huku TFF ikikaa kimya il Hal inajua fika kwamba FIFA imepiga marufuku siasa kwenye Kandanda.

Leo na CHADEMA nao wameingia na bango la Mwenyekiti wa Taifa uwanjani kwa Mkapa tayari nasikia fununu kuwa taharuki imetokea ndani ya TFF.

Kama mliwakalia kimya CCM, Leo msipanik kuona CHADEMA wamekuja na bango la Mwenyekiti Mbowe uwanjani.

Hao hapo makanda wa CHADEMA na bango lao Leo hii kwa Mkapa.
Hamna kitu ambacho sio jukwaa kwa sasa .

1.Magazet
2.Polisi
3.Bunge
4.Mahajana
5 na sasa Soka
 
nchi ambayo watu wameuza nafsi zao kwa wanasiasa
 
Back
Top Bottom