TFF mnachokitafuta soon mtakipata

CCM imeharibu kila mahali, hao hawawezi kufanywa chochote sababu wako na kadi za CCM ndio maana wanaruhusu michezo kutumiwa na Wana siasa wa CCM
Chadema mna wadudu vichwani
 
CCM mna wadudu mwili mzima, wewe sijui ni Mpare wa wapi, hakuna Mpare Ako na akili kama zako labda wa ujombani
Sasa ww zumbukuku, mambo ya TFF na Yanga ccm inaingia vp
 
Aliyekwambia Yanga wamepeleka Tff majina 13 nani? Punguza Mihemko.
Yanga walishapeleka majina 12 , kama sheria inavyotaka, na yakatumwa CAF, leo mnataka tena kuingiza jina lingine kwa kanuni ipi?!hebu jitambueni acheni kufanywa wajingwa, haya TFF, wameshatoa barua kuelezea hilo, pambaneni na upuuzi wa viongozi wenu, kwani wanafanya mambo ki zamani, eti mna INJINIA!!(NDIO MAANA MANARA ALIWAAMBIA KUWA PALE YANGA WOTE NI KAMA HAMNAZO VILE ISIPOKUWA JK, NA SUNDAY MANARA TU)na ni kweli.
 
Utopolo wengi ukiwaambia system hawaelewi maana ni manungayembe watupu,kichwani kumejaa kilichojaa kwenye nguo zao za ndani

Wenye akili huko ni wawili tu
 
Mara nyingi sisi WANAYANGA HUWA AKILI ZETU ZA KIPUMBAVU SANA. INASABABISHA WOTE TUONEKANE HATUNA AKILI KAMA MWANDISHI WA HII THREAD. SIJAJUA KWA NINI TUNAKUWA KAMA MWANAMKE AMBAYE HAJABAHATIKA KUPATA MTOTO NA NDO MKE WA KWANZA UZEE UMEMJIA.ANAKUWA MLALAMISHI SANA.
 
CCM imeharibu kila mahali, hao hawawezi kufanywa chochote sababu wako na kadi za CCM ndio maana wanaruhusu michezo kutumiwa na Wana siasa wa CCM
🤣🤣🤣🤣 dah Yanga wawe na heshima kwanza kwa Karia na alafu mdai haki zenu.

Hata mimi ningekuwa Karia ningewang'ata mkia kidogo kwa matukio tu mpaka muwe na adabu. Jitu limefungiwa 2yrs nyie mnalipa nafasi lifanye kazi.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

1. Mzee Kikwete

2. Sunday Manara

Wengine wote vipozeo
 
Kwa hilo la morisoni umejichanganya . Ko hata CAS waliwahujumu Yanga? Au umeamua tu kuandika ili watu wajue kwamba nawe unajua kuandika?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…