demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Ni wajinga na wapuuzi wanaweza kuamini kuwa mikwara ta barua yenu inaweza kuzaa matunda.
Kabla Haji Manara hajaalikwa kama MC wa kisherehesha Wiki Ya Wananchi walikaa mezani na waasheria wao kupitia sheria zote zinazo mzuia Manara kushiriki.
Na wanafahamu vyema mapungufu ya sheria zenu za kiduwanzi ndio maana wamemualika kama mshehereshaji.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuvunja sheria na kupindisha sheria.
View attachment 2316772View attachment 2316771
Kabla Haji Manara hajaalikwa kama MC wa kisherehesha Wiki Ya Wananchi walikaa mezani na waasheria wao kupitia sheria zote zinazo mzuia Manara kushiriki.
Na wanafahamu vyema mapungufu ya sheria zenu za kiduwanzi ndio maana wamemualika kama mshehereshaji.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuvunja sheria na kupindisha sheria.
View attachment 2316772View attachment 2316771