TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

Hili jambo mlianzisha wenyewe wakati yanga wanashiriki lazima mle maharishi yenu hakuna kuyatema

Nakumbuka ukiwemo wewe hapo ulikuwa unapayuka sana kipindi kile?
Wewe sijawahi kukujua mimi wala post zako zaidi ya hii.

Nayo ni utumbo tuuu umeandika hapa.

Hayo alisema manara msemaji wenu Au umesahau
 
Wewe sijawahi kukujua mimi wala post zako zaidi ya hii.

Nayo ni utumbo tuuu umeandika hapa.

Hayo alisema manara msemaji wenu Au umesahau
Nadhani nilikufananisha

Sidhani kama nakufahamu utakuwa sio wewe mimi ndiyo nakuona leo hapa nadhani huwa unashinda huko jukwaa la mahusiano huku hupawezi maana unaonekana mweupe sana kwenye soka
 
Nadhani nilikufananisha

Sidhani kama nakufahamu utakuwa sio wewe mimi ndiyo nakuona leo hapa nadhani huwa unashinda huko jukwaa la mahusiano huku hupawezi maana unaonekana mweupe sana kwenye soka

Wewe unayeweza umeshindwa kuisaidia team yako kuingia robo,Au hata huko TFF wanawaamuzi wanao waonea😂😂
 
Mtaweweseka sana kwa hofu ya kukosa Ubingwa! Kengold hao wanaja!
 
Umejiunga jf lini mkuu? Hebu acha utoto mimi sio huyo unayemfananisha wote humu wananijua sasa nashangaa wewe huou upuuzi umeutolea wapi?

Nipo JWTZ makutupora sasa umenijulia wapi mkuu? Acha kunichafua sawa?
Daaaah....we dogo umenichosha kabisa...kweli njaa mwanamalevya. Dogo umechange sana. Haina shida lakini.
 
Mnajua kulalamika nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…