Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba unamuonea wivu nikuombe wewe.Haiombwi hivyo bro
Hao wako kwenye mashindano ya akina mama kama 5imba?Nazingumzia waarabu hawa wenu wajuzi MC algers.
Au waliwaotea 😝😝
Unazunguzia MC ALGERSHao wako kwenye mashindano ya akina mama kama 5imba?
Ndiyo ndiyo mc Alger hawezi kukubali kacheza mashindano ya akina mamaUnazunguzia MC ALGERS
Nyie mnacheza mashindano yapi sasa hivi?Ndiyo ndiyo mc Alger hawezi kukubali kacheza mashindano ya akina mama
Tumetolewa kwenye group CAFCl ambayo nyie mbumbumbu hamkushiriki mlioenda umamani pamoja na Coast union,🤣Nyie mnacheza mashindano yapi sasa hivi?
Mmetolewa na wababa?au so wababa Ndio wamebaki huko mlikotolewaTumetolewa kwenye group CAFCl ambayo nyie mbumbumbu hamkushiriki mlioenda umamani pamoja na Coast union,🤣
Wababa wote walicheza CAFCL kama timu lako halijacheza CAFCL ujue hiyo ni timu ya wamamaMmetolewa na wababa?au so wababa Ndio wamebaki huko mlikotolewa
Kwahiyo waliotolewa ni wa mama Au?Wababa wote walicheza CAFCL kama timu lako halijacheza CAFCL ujue hiyo ni timu ya wamama
Aiseeee...hii dunia ina watu wa ajabu sana wewe pancho dullar wa kunijibu hivi? Sawa sina akili. Nimelewa. Unadhani nitabishana nawe? Siwezi bishana nawe. Nakusitiri wewe mwananchi mwenzangu.ila haitapita week. NitakukumbushaUna matatizo ya akili? Umelewa? Au umenifananisha?
Mmeanza kuitana Hamna akili 🤣🤣Aiseeee...hii dunia ina watu wa ajabu sana wewe pancho dullar wa kunijibu hivi? Sawa sina akili. Nimelewa. Unadhani nitabishana nawe? Siwezi bishana nawe. Nakusitiri wewe mwananchi mwenzangu.ila haitapita week. Nitakukumbusha
We acha tu. Dogo kavurugwa hacheki na wowote. Anaturushia hata sisi ndugu zake mawe na matope. Hapo katakuwa kana njaa kapo jangwani pale kwenye jengo. Kenyewe kanapambana na simba tu 🤣🤣🤣🤣Mmeanza kuitana Hamna akili 🤣🤣
Wanaobebwa hawapo kwenye mashindano ya kimataifa ,kelele hizi ni wivu tuI salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana
Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!
Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.
Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"
Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?
Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.
Its Pancho
Una point ngapi CAF?Jikite kwenye mada wewe kigagula wa kolo
Hujui kwamba unabebwa wazi au ndio vile umeamua kunyamaza tu sababu kipenda roho hula nyama mbichi eeh
Tupo kimataifa wanaobebwa wametolewa kwa aibuHuna hoja kolo
Leta vithibitisho kwamba hakuna mbeleko kwenu yaani hata kolo wenzio wanaona aibu namna mnavyocheza papatu papatu na "gusa weka bahasha tupate penati"
Umejiunga jf lini mkuu? Hebu acha utoto mimi sio huyo unayemfananisha wote humu wananijua sasa nashangaa wewe huou upuuzi umeutolea wapi?pancho dullar
Nitakuripoti naona sasa umejificha kwenye kichaka cha uananchiWe acha tu. Dogo kavurugwa hacheki na wowote. Anaturushia hata sisi ndugu zake mawe na matope. Hapo katakuwa kana njaa kapo jangwani pale kwenye jengo. Kenyewe kanapambana na simba tu 🤣🤣🤣🤣