Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #21
Arajiga ameitwa CAF kuchezesha
Kwahiyo na CAF nao wanakula Rushwa?
Akili ndogo huumiza mwili binti sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arajiga ameitwa CAF kuchezesha
Kuna moja che molone alijirusha mwenyewe cha ajabu refa akasema faul dahHawa kolo wanabebwa sana
Si nyie akili mbili fc mnalalamika huko kuwa refa yule yule aliechezesha mechi ya simba na tabora ndo aliechezesha Simba na JKT...ndo muone sasa na nyie mechi zenu nani amechezesha...Arajiga ameitwa CAF kuchezesha
Kwahiyo na CAF nao wanakula Rushwa?
Akili ndogo huumiza mwili binti sawa?
NAKAZIAHuna akili
Arajiga ana shida gani sasa? Au tangu tulipowanyandua 5 akiwa refa ndiyo mnamchukia?Si nyie akili mbili fc mnalalamika huko kuwa refa yule yule aliechezesha mechi ya simba na tabora ndo aliechezesha Simba na JKT...ndo muone sasa na nyie mechi zenu nani amechezesha...
Mwamba ngoma huvutia upande wake.....Arajiga ana shida gani sasa? Au tangu tulipowanyandua 5 akiwa refa ndiyo mnamchukia?
Sababu amenyooka hapendi kona kona a spade is a spade not a big spoon arajiga anaamini hivyo sio kama marefa wenu wanaochaguliwa sijui huwa bodi ya ligi wa awaokota wapi? Wananuka njaa njaa tu
Acha kuchekesha sawa?Ile Penati Arajiga aliyowapa eti Dube amechezewa faulo mnaikumbuka au tuwakumbushe...
Dodoma..
Sisi hatuna noma tunasubiri March 8 tuwakande tena kama kawaida my wetu halafu msingizie marefaMwamba ngoma huvutia upande wake.....
Pelekeni shauri mbele msikilizwe
Bwana mdg tulia dawa ikuingie...mbona badooo? Utalia na kubweka sana msimu huu...Acha kuchekesha sawa?
Kwahiyo tuanze kuhesabu makosa ya kibinadamu hapa ya simba si tutakesha jamani server zitajaa?
Simba wana penati kama penati ngapi ukiachana na magoli ya mchongo papatu papatu?
Hii trh nitakuwepo tuombe uzima....Sisi hatuna noma tunasubiri March 8 tuwakande tena kama kawaida my wetu halafu msingizie marefa
Mkiwapa dau la kutufunga milioni 100....sisi tunawapiga mpk milioni 100 zinayeyukaMbumbumbu wanahonga
Ndo tarehe mtapigwa 5 tenaHii trh nitakuwepo tuombe uzima....
Sawa...Ndo tarehe mtapigwa 5 tena
March 8 sio mbali tutakuwepo hapa chaguaeni na refa wenu mnayemuaminia kabisa arajiga si mmemkataa?Bwana mdg tulia dawa ikuingie...mbona badooo? Utalia na kubweka sana msimu huu...
Bado tunajenga timu ndo kwanza tuko asilimia 58 vilio vishaanza tukifika 100???
March 8 sio mbali mkuu vilio vyao vitaanza tenaMbumbumbu wanahonga
Beba dawa zako za pressureSawa...