TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

March 8 sio mbali tutakuwepo hapa chaguaeni na refa wenu mnayemuaminia kabisa arajiga si mmemkataa?

Adios
Screenshot_20250204-150054_Instagram.jpg
kula chuma hiko...
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ww nakwambia hiviiii hutamfunga mnyamaaa...
Mm dawa za presha za nini mwili wangu ni wa mazoezi ww mrundi...
Hahaha
Member ametoa ushuhuda kuwa Huwa una pressure maana ulizimia mahala
Sasa chonde chonde trh jipange vyema, zaidi ongea na Daktari wako zaidi sana andika wosia mapema
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho
U Simba na U Yanga ni tatizo katika mpira wa Tanzania
 
Member ametoa ushuhuda kuwa Huwa una pressure maana ulizimia mahala
Sasa chonde chonde trh jipange vyema, zaidi ongea na Daktari wako zaidi sana andika wosia mapema
Msiniletee nuksi ya magonjwa ya kizee at this age...mkomee wewe na pancha wako...
 
Rainbow ya wapi hyo ww kitoto?
Mm na bar au pub wapi na wapi...
Unajifanya umesahau hapa dodoma wakati nikikuwepo siku hiyo ulipozimia pale tukiposhindilia mjegeje wa 5?

Sasa utazimia sana safari hii nenda na dawa zako😂

Halafu hiyo ya kuniita kitoto wakati mimi bamdogo wako kuwa na adabu wewe mshangazi
 
Unajifanya umesahau hapa dodoma wakati nikikuwepo siku hiyo ulipozimia pale tukiposhindilia mjegeje wa 5?

Sasa utazimia sana safari hii nenda na dawa zako😂

Halafu hiyo ya kuniita kitoto wakati mimi bamdogo wako kuwa na adabu wewe mshangazi
Ambulance zitakuwa na majukumu mengine kuhudumia wagonjwa Amana hospital 🏥
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho
Makosa ya kibinadamu ni mengi sana uliona hii
 

Attachments

  • 20241225_065945.jpg
    20241225_065945.jpg
    116.7 KB · Views: 1
Kwahiyo ushahidi wako ni jamaa wa simba kutokufurahi?
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho
Screenshot_2025-02-04-16-31-41-882_com.instagram.android~2.jpg
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho
Dogo unakaa humu daily kufuatilia habari za mikia kisha unakuja kuomba omba usaidiwe. Tafuta kazi omba connection. Usikae siku nzima unahangaika na mikia tu. Wenzako tunatengeneza pesa. Kisha unakuja unasema we yanga mwenzetu tukuoe hata ya bfast. Tafuta kazi hayo mambo ya mpira hayatakusaidia humu.
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho

View: https://x.com/sportshqtz/status/1885569600659583280?t=FFg-66GTQshDNoOBM0MUKg&s=19
 
Dogo unakaa humu daily kufuatilia habari za mikia kisha unakuja kuomba omba usaidiwe. Tafuta kazi omba connection. Usikae siku nzima unahangaika na mikia tu. Wenzako tunatengeneza pesa. Kisha unakuja unasema we yanga mwenzetu tukuoe hata ya bfast. Tafuta kazi hayo mambo ya mpira hayatakusaidia humu.
Una matatizo ya akili? Umelewa? Au umenifananisha?
 
Back
Top Bottom