TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

TFF mnasubiri nini, haya makosa ya kibinadamu hutokea tu Simba wanapocheza?

IMG_20241231_164052_104.jpg
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho
Timu zinazobebwa mechi za kimataifa huishia makundi
Mlivyofungwa na Tabora, na Simba mlitegemea atafungwa😀😀😀
 
Timu zinazobebwa mechi za kimataifa huishia makundi
Mlivyofungwa na Tabora, na Simba mlitegemea atafungwa😀😀😀
Sisi tumeshachoka na kuzoea kuona namna mbeleko unavyobebwa mgongoni

March 8 sio mbali
 
I salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana

Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!

Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.

Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"

Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?

Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.

Its Pancho
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha
 
Sisi tumeshachoka na kuzoea kuona namna mbeleko unavyobebwa mgongoni

March 8 sio mbali
Kipindi mko CAF champion league. Kulikuwa hakuna umbeya huu.
Ila sasa hivi, hamna kazi wala mechi za kimataifa. Mnaanza kupiga soga kwenye vijiwe vya kahawa😀😀😀
 
Hoja kuita mashindano ya CAF confederation ya kina mama? Maana sijaona upuuzi zaidi ya huo.
Hili jambo mlianzisha wenyewe wakati yanga wanashiriki lazima mle maharishi yenu hakuna kuyatema

Nakumbuka ukiwemo wewe hapo ulikuwa unapayuka sana kipindi kile?
 
Kipindi mko CAF champion league. Kulikuwa hakuna umbeya huu.
Ila sasa hivi, hamna kazi wala mechi za kimataifa. Mnaanza kupiga soga kwenye vijiwe vya kahawa😀😀😀
Ongezea ni caf champions league

Na nyie mmebaki huko shirikisho na kina coastal walikuwa huko huko
 
Back
Top Bottom