CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume anayelalamika eti wamama wanapendelewa huyo atakuwa shoga bila shakaWababa wote walicheza CAFCL kama timu lako halijacheza CAFCL ujue hiyo ni timu ya wamama
Hiyo haibadili nafasi ya DAKTARI bwa sheeRage aliwaita mbumbumbu Wanachama wa Simba
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Wao ni wamama wastaafu kwa sasa wameshazeeka si unajua wazee walivyo na nongwa...Kwahiyo waliotolewa ni wa mama Au?
Huyo ni mkimbizi pambana nae hakikisha anarudi kwao Burundi
UtotoKwamba unamuonea wivu nikuombe wewe.
Haya niambie ukiombwa vipi unatoa
Si tulikubaliana mashindano ni CAFCL tu? Hayo mengine ni luza? Sasa kimataifa gani tena?mashindano ya kimataifa ,kelele hizi ni wivu tu
Naunga mkono hojaWababa wote walicheza CAFCL kama timu lako halijacheza CAFCL ujue hiyo ni timu ya wamama
Timu zinazobebwa mechi za kimataifa huishia makundiI salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana
Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!
Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.
Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"
Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?
Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.
Its Pancho
Sisi tumeshachoka na kuzoea kuona namna mbeleko unavyobebwa mgongoniTimu zinazobebwa mechi za kimataifa huishia makundi
Mlivyofungwa na Tabora, na Simba mlitegemea atafungwa😀😀😀
Uruke naye kwenda wapi na kakuzidi upeo na hoja? Zaidi unajibu mipasho tu
Hoja kuita mashindano ya CAF confederation ya kina mama? Maana sijaona upuuzi zaidi ya huo.Uruke naye kwenda wapi na kakuzidi upeo na hoja? Zaidi unajibu mipasho tu
Kunya anye kuku akinya bata kaharishaI salute you kinsmen
Hivi sasa imekuwa too much kwa ligi yetu ambayo inazidi kupanda ubora ila sasa wahuni wachache wakiongozwa na TFF na klabu yao ya simba wanatia kinyaa sana
Nadhani msimu huu TFF wameamua wazi kwamba simba wachukue kombe watake wasitake..!
Kama umefuatilia hii ni mechi zaidi ta 12 ila kila mechi basi kunakuwa na makosa ya kibinadamu yanayo wafavour hawa simba. Mfano mechi na Tabora ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana mpaka unaona aibu.
Kuna jamaa wa simba pembeni yangu yeye mwenyewe hajufurahishwa na ushindi huo wa "gusa weka bahasha tushinde"
Kwanini kila simba wanapocheza basi TFF na bodi ya ligi huweka marefa weak na walafi wa Rushwa?
Tusipoangalia basi ligi yetu itashuka mpaka nafasi ya 20 huko sababu simba ndiyo wanataka kuididimiza ligi ishuke kuwa ya kawaida matopeni tena.
Its Pancho
Au hutoiUtoto
Kipindi mko CAF champion league. Kulikuwa hakuna umbeya huu.Sisi tumeshachoka na kuzoea kuona namna mbeleko unavyobebwa mgongoni
March 8 sio mbali
Hili jambo mlianzisha wenyewe wakati yanga wanashiriki lazima mle maharishi yenu hakuna kuyatemaHoja kuita mashindano ya CAF confederation ya kina mama? Maana sijaona upuuzi zaidi ya huo.
Ashakimbia huyo muha mbishi kama niniHuyo ni mkimbizi pambana nae hakikisha anarudi kwao Burundi
Ongezea ni caf champions leagueKipindi mko CAF champion league. Kulikuwa hakuna umbeya huu.
Ila sasa hivi, hamna kazi wala mechi za kimataifa. Mnaanza kupiga soga kwenye vijiwe vya kahawa😀😀😀