TFF, mpaka leo hii tukio la Gamondi kumpiga kiongozi wa Singida Black Stars hakuna hatua zozote wala uchunguzi. Kuna nini?

TFF, mpaka leo hii tukio la Gamondi kumpiga kiongozi wa Singida Black Stars hakuna hatua zozote wala uchunguzi. Kuna nini?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Bodi ya ligi kamati ya nidhamu zote zipo kimya hawatuelezi hatua gani wamemchukulia kocha wa yanga Gamondi kwa kitendo cha kumpiga kiongozi mwenzie mbele ya kamera za azam tv kila mmoja anaona na mpaka leo anaingia kwenye mechi ya tatu bila adhabu wala tamko.

TFF mtueleze nini kimejificha au mnamuogopa kwa kuwa ni yanga hebu tendeni haki au tukamshitaki polisi kwa shambulio la maungoni tunataka majibu na ufafanuzi kabla ya kipenga cha mechi ya leo kupulizwa ikiwezekana afungiwe kwa utovu wa nidhamu na kuna yule kochi mweusi sana pia ana tabia za hovyo kabisa.
 
Bodi ya ligi kamati ya nidhamu zote zipo kimya hawatuelezi hatua gani wamemchukulia kocha wa yanga Gamondi kwa kitendo cha kumpiga kiongozi mwenzie mbele ya kamera za azam tv kila mmoja anaona na mpaka leo anaingia kwenye mechi ya tatu bila adhabu wala tamko Tff mtueleze nini kimejificha au mnamuogopa kwa kuwa ni yanga hebu tendeni haki au tukamshitaki polisi kwa shambulio la maungoni tunataka majibu na ufafanuzi kabla ya kipenga cha mechi ya leo kupulizwa ikiwezekana afungiwe kwa utovu wa nidhamu na kuna yule kochi mweusi sana pia ana tabia za hovyo kabisa.
Hizo Timu zenu za Kisiasa hatua huchukuliwa kama wamefanyia wenyewe Kwa wenyewe au Timu ndogo zimewafanyia Timu kubwa.

Kimsingi Timu ndogo ni wajinga ni Bora wawe na Ligi Yao harafu Simba ,Yanga na Azam nao wawe na Ligi Yao
 
Hizo Timu zenu za Kisiasa hatua huchukuliwa kama wamefanyia wenyewe Kwa wenyewe au Timu ndogo zimewafanyia Timu kubwa.

Kimsingi Timu ndogo ni wajinga ni Bora wawe na Ligi Yao harafu Simba ,Yanga na Azam nao wawe na Ligi Yao
Wazo zuri lakini hatuwezi kaa kimya uhuni ukiendelea kutamalaq pili hapa hakuna timu kubwa ila kuna timu kongwe basi!
 
Anayepaswa kulalamika ni aliyefanyiwa kitendo. Kama yeye amelala TFF haiwezi kuamka.

Haki ni yako, unapaswa kuitetea wewe mwenyewe.
 
Bodi ya ligi kamati ya nidhamu zote zipo kimya hawatuelezi hatua gani wamemchukulia kocha wa yanga Gamondi kwa kitendo cha kumpiga kiongozi mwenzie mbele ya kamera za azam tv kila mmoja anaona na mpaka leo anaingia kwenye mechi ya tatu bila adhabu wala tamko Tff mtueleze nini kimejificha au mnamuogopa kwa kuwa ni yanga hebu tendeni haki au tukamshitaki polisi kwa shambulio la maungoni tunataka majibu na ufafanuzi kabla ya kipenga cha mechi ya leo kupulizwa ikiwezekana afungiwe kwa utovu wa nidhamu na kuna yule kochi mweusi sana pia ana tabia za hovyo kabisa.
Makolo yanadhani Gamondi akifungiwa wao ndio watachukua ubingwa.
 
Anayepaswa kulalamika ni aliyefanyiwa kitendo. Kama yeye amelala TFF haiwezi kuamka.

Haki ni yako, unapaswa kuitetea wewe mwenyewe.
Wadau wa michezo wanayo haki kuikumbusha tff watu wanatoa pesa kuangalia burudani makampuni yanatoa pesa kudhamini timu sasa wasiruhusu wahuni kugeuza soka ulingo wa masumbwi!
 
Back
Top Bottom