TFF, mpaka leo hii tukio la Gamondi kumpiga kiongozi wa Singida Black Stars hakuna hatua zozote wala uchunguzi. Kuna nini?

TFF, mpaka leo hii tukio la Gamondi kumpiga kiongozi wa Singida Black Stars hakuna hatua zozote wala uchunguzi. Kuna nini?

Kila nikiangalia ulichoandika unaonyesha unasumbuliwa na msongo wa mawazo kutokana na magonjwa ya zinaa na vidonda vya tumbo ushauri wa daktari koroga pilipili unywe huu mchezo hautaki hasira wahuni hawaruhusiwi michezoni!
 
Tff chini ya jemedari simba wa vita walace karia imeshawaagiza kamati wamchukulie hatua kali huyo mvuta bangi na mhuni wa argentina....kamati inasubiri mechi na makosa yawe mengi mengi kidogo ndipo watatoa kwa pamoja mkeka.
 
Tff chini ya jemedari simba wa vita walace karia imeshawaagiza kamati wamchukulie hatua kali huyo mvuta bangi na mhuni wa argentina....kamati inasubiri mechi na makosa yawe mengi mengi kidogo ndipo watatoa kwa pamoja mkeka.
Mkuu funguka ututendei haki!
 
Bodi ya ligi kamati ya nidhamu zote zipo kimya hawatuelezi hatua gani wamemchukulia kocha wa yanga Gamondi kwa kitendo cha kumpiga kiongozi mwenzie mbele ya kamera za azam tv kila mmoja anaona na mpaka leo anaingia kwenye mechi ya tatu bila adhabu wala tamko.

TFF mtueleze nini kimejificha au mnamuogopa kwa kuwa ni yanga hebu tendeni haki au tukamshitaki polisi kwa shambulio la maungoni tunataka majibu na ufafanuzi kabla ya kipenga cha mechi ya leo kupulizwa ikiwezekana afungiwe kwa utovu wa nidhamu na kuna yule kochi mweusi sana pia ana tabia za hovyo kabisa.
Mnafiki huwa hajifichi hata ukimuweka ndani ya chupa atatoa hata kidole
Unaweza kulithibitisha hili au ni ýaleyale ya jukwaa la siasa kuzushia watu?
 
Mnafiki huwa hajifichi hata ukimuweka ndani ya chupa atatoa hata kidole
Unaweza kulithibitisha hili au ni ýaleyale ya jukwaa la siasa kuzushia watu?
Unataka uthibitishiwe nini na mpira hauchezwi chumbani!
 
Back
Top Bottom