Lipuli ni timu yangu ya nyumbani....tujiandae tuu kurekebisha Uwanja wetu wa samora na kuwasiliana na TFF waupeleke CAF waje wauoague Kama ukikidhi viwango mwakani tuutumie kwa mashindano ya Kimataifa maana hamna namna Azam lazima ifungwe Wana paluhengo hatuna masihara na tumu ndogo ndogo za juzi juzi Kama Azam