Kibongo Bongo dakika sio ziko kwa wote Maana kunakupewa kadi nyekundu au kupewa penati ili wahusika washinde..DK ZPO KWA WOTE
Refa wa mechi yenu na fountain gate mlimlipa pesa yake iliyobaki?Nyie muhonge hivyo vitimu sisi tunacheza na marefa tu,shenzy kabisa
Mpira wa miguu ni mchezo wa malengo. Timu huwa zinacheza kutokana na matokeo anayoyahitaji na hata ushindani wa kupata au kulinda matokeo utapungua au kuongezeka kutokana na dakika zinavyoenda.DK ZPO KWA WOTE
Tumeshanlipa cash,kunbuka na yeye ana familiaRefa wa mechi yenu na fountain gate mlimlipa pesa yake iliyobaki?
Au mlimchinjia baharini licha ya juhudi zote alizoonesha.
Wampe buana mkeanja wake wote. Wachezaji wa Simba walishindwa wenyewe kupachika magoli: Kila mchezaji alipigwa njano, golikipa kapigwa red♥️, dk 18 aliomgeza. Hana lawama, wampe chake.Refa wa mechi yenu na fountain gate mlimlipa pesa yake iliyobaki?
Au mlimchinjia baharini licha ya juhudi zote alizoonesha.
Hivi pale angejikwaa akategua mguu matibabuAkale wapi? Ona alivyokasirika wakati anakwenda kutoa red 🍒 card kwa golikipa, unadhani alikuwa amekosewa yeye binafsi na yule kipa. Alivaa uhusika wa shabiki wa Simba.
shoga yetu alitaka draw tu inatosha akafanikiwaHz dkk huyo shoga yenu hakua uwanjani? Ilipewa timu moja tuuu? Na je huyo shoga yenu yy hakua na hamu ya kufunga goli lingine?