TFF na Bodi ya ligi eti hawaoni madudu ya waamuzi wao.

TFF na Bodi ya ligi eti hawaoni madudu ya waamuzi wao.

Tazama mwamuzi anavyoinyonga Pamba jiji, kawanyima penati na goli.
Nimeangalia mchezaji wa Pamba mwamba kabisa kapiga goli la Maradona, katoka katikati ya uwanja kapiga chenga wachezaji wote wa Azam na kumalizia kumlamba chenga kipa wao na akafunga goli safi kabisa, maajabu ya dunia refa na kibendera wake wakakataa goli ukweli nikaona aibu sana nikaenda zangu mitaani kunywa kahawa. Mpira gani huu wa tiefutiefu mbona wanatuchosha hivi?

Jana nimejua kumbe Azam pia ni big fish, kumbe sio Simba tu wanabebwa, hata Azam pia wanabebwa

Shime timu ndogo msikubali kuonewa muwe mnafungua madai itasaidia kupunguza uonevu
 
Nimeangalia mchezaji wa Pamba mwamba kabisa kapiga goli la Maradona, katoka katikati ya uwanja kapiga chenga wachezaji wote wa Azam na kumalizia kumlamba chenga kipa wao na akafunga goli safi kabisa, maajabu ya dunia refa na kibendera wake wakakataa goli ukweli nikaona aibu sana nikaenda zangu mitaani kunywa kahawa. Mpira gani huu wa tiefutiefu mbona wanatuchosha hivi?

Jana nimejua kumbe Azam pia ni big fish, kumbe sio Simba tu wanabebwa, hata Azam pia wanabebwa

Shime timu ndogo msikubali kuonewa muwe mnafungua madai itasaidia kupunguza uonevu
TFF wameamua iwe hivyo jukumu letu ni kupiga kelele hata kuwaondoa kwamaoni yenye mifano hai, (fikra chanya)
 
Refa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus.

Mwamuzi anaongeza dk kutokana na timu ipi huwa ina tabia ya kushinda na ipi inashambulia zaidi. Timu ipi inatakiwa isawazishe na ipi isisawazishe.
Kuna aliecheza game ya Pamba vs Azam nae akatazwe ,maana Pamba kaonewa sana game na Azam hata ya Dar
 
TFF isifumbia macho GSM kudhamini timu 9 kwenye ligi.Ndio maana ligi yetu haina ushindani (side the plumbe
GSM amedhamini timu nyingi, Azam amedhamini timu zooote kwenye ligi na Namungo ameidhamini Tena kupitia MAX. Timu ziko 16, dawa yake ni mo nae kudhamini zile 6 zilizobaki.
 
Nimeangalia mchezaji wa Pamba mwamba kabisa kapiga goli la Maradona, katoka katikati ya uwanja kapiga chenga wachezaji wote wa Azam na kumalizia kumlamba chenga kipa wao na akafunga goli safi kabisa, maajabu ya dunia refa na kibendera wake wakakataa goli ukweli nikaona aibu sana nikaenda zangu mitaani kunywa kahawa. Mpira gani huu wa tiefutiefu mbona wanatuchosha hivi?

Jana nimejua kumbe Azam pia ni big fish, kumbe sio Simba tu wanabebwa, hata Azam pia wanabebwa

Shime timu ndogo msikubali kuonewa muwe mnafungua madai itasaidia kupunguza uonevu
Hii ni dhambi ya mauti. Timu ndogo zinatumia gharama kubwa kuandaa timu zao kwa pesa za kuminyana na kupapasana kwelikweli. Haiwezekani refa azitie maji. Tabia hii ndiyo inayozaa akina mwakarobo na mwamakundi kwenye mashindano ya CAF
juhudi zao hizi kwa njaa na mahaba yao.
 
Kituko cha mwaka sasa ni penati waliyo pata Namungo dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi yao ya jana .
 
Kawaida inatakiwa uwalaumu waamzi kuhusu kujifanya kuona foul kwa timu zingne, wakati huo huo anafumbia macho foul hzo hzo kwa timu pinzani.

Marefa wetu wakilambishwa asali huwa wanahisi na sisi watazamaji tumelambishwa asali, hvo unakuta wanaona sana offside za upande mmoja na kuzifumbia jicho offside za upande mwingne.

»KUHUSU MUDA WAPO SAHIHI.. KANUNI YA MUDA INASEMA MWAMZI AWEZA KUZIDISHA MUDA ZAIDI WA ULE WA NYONGEZA KWA ATAKAVYOONA INAFAA, LAKN HATAKIWI KUPUNGUZA MUDA WA NYONGEZA..mfano kama muda wa nyongeza ni dk 5, basi aweza kuongeza zaidi hadi hata dk 8, lakini haruhusiwi kupunguza muda wa nyongeza.
 
Refa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus.

Mwamuzi anaongeza dk kutokana na timu ipi huwa ina tabia ya kushinda na ipi inashambulia zaidi. Timu ipi inatakiwa isawazishe na ipi isisawazishe.
Simba ni Mali ya TFF
 
Sio kweli kama ligi hii ni ya 4 kwa ubora Africa. Hovyo kabisa upande wa waamuzi.
Kituko cha mwaka sasa ni penati waliyo pata Namungo dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi yao ya jana .
 
Refa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus.

Mwamuzi anaongeza dk kutokana na timu ipi huwa ina tabia ya kushinda na ipi inashambulia zaidi. Timu ipi inatakiwa isawazishe na ipi isisawazishe.
Mi nadh ndio uwezo wao
 
Back
Top Bottom