majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Sasa kana muda ulipotezwa wewe unaona ni kosa? Acha ujingaRefa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus.
Mwamuzi anaongeza dk kutokana na timu ipi huwa ina tabia ya kushinda na ipi inashambulia zaidi. Timu ipi inatakiwa isawazishe na ipi isisawazishe.