majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Sasa kana muda ulipotezwa wewe unaona ni kosa? Acha ujingaRefa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus.
Mwamuzi anaongeza dk kutokana na timu ipi huwa ina tabia ya kushinda na ipi inashambulia zaidi. Timu ipi inatakiwa isawazishe na ipi isisawazishe.
Mpuuzi weweshoga yetu alitaka draw tu inatosha akafanikiwa
Kenge mtasena sana upuuziAkale wapi? Ona alivyokasirika wakati anakwenda kutoa red π card kwa golikipa, unadhani alikuwa amekosewa yeye binafsi na yule kipa. Alivaa uhusika wa shabiki wa Simba.
Nyie paka mnavyonunua mechi kwa timu pinzani mnadhani hatujuiRefa wa mechi yenu na fountain gate mlimlipa pesa yake iliyobaki?
Au mlimchinjia baharini licha ya juhudi zote alizoonesha.
Mnajua kwani hata nyie huwa tunanunua mechi zenu.Ny
Nyie paka mnavyonunua mechi kwa timu pinzani mnadhani hatujui
Kama vile mamlaka hazion madudu ya vioo ngozi, si jipya nchi hii. See no evil, hakutakuwa na shidaRefa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus.
Mwamuzi anaongeza dk kutokana na timu ipi huwa ina tabia ya kushinda na ipi inashambulia zaidi. Timu ipi inatakiwa isawazishe na ipi isisawazishe.
Kwani Ni Lazima Wote Tuwe Mashabiki?Sio kweli kama ingekuwa hivyo makampuni ya kubet yasingekuwa yanatoa odds tofauti kwa timu zinazocheza mechi husika. Mwamuzi anaongeza dk au kupunguza dk za nyongeza akiwa na nia (dhamira) ovu.
Kammalizie Wewe Si Alikusimulia Kwamba Anadai Maana Inaonekana Ndo Stori Zenu Mkiwa Kitandani.Refa wa mechi yenu na fountain gate mlimlipa pesa yake iliyobaki?
Au mlimchinjia baharini licha ya juhudi zote alizoonesha.
Binti mbona una hasira?Kammalizie Wewe Si Alikusimulia Kwamba Anadai Maana Inaonekana Ndo Stori Zenu Mkiwa Kitandani.
Wacheze mwezi mzima ili wafyeke kichaka?. πππUnatamani Mechi Ya Yanga na Mc alger ingekua haijaisha mpaka saivi sio?
Kichaka chao kimechomwa moto.Wacheze mwezi mzima ili wafyeke kichaka?. πππ
Ushamba huu shida yenu mnaangalia kabumbu tuRefa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus.
Mwamuzi anaongeza dk kutokana na timu ipi huwa ina tabia ya kushinda na ipi inashambulia zaidi. Timu ipi inatakiwa isawazishe na ipi isisawazishe.
Leo Sijapewa Umepewa Wewe Mama Mkwe.Binti mbona una hasira?
Au leo hujapewa posho na mumeo?