TFF na Bodi ya Ligi inavunja kanuni za mpira ili kuilinda Simba sc dhidi ya KMC

TFF na Bodi ya Ligi inavunja kanuni za mpira ili kuilinda Simba sc dhidi ya KMC

TFF pale kila siku tunasema humu wote makolo pale. Na iwe hata iweje hata kwa mbeleko makolo lazima wapate nafasi ya pili. Kwa namna yoyote lazima watengenezewe mazingira.
 
Sasa jiulize kwanini huyo mchezaji alicheza CAF CL. Kwamba CAF hawakumuona?
Hiyo taarifa ya kuwepo mchezaji ambaye hajakamilisha usajili sikuitoa mimi bali wao wenyewe wenye mamlaka (TFF, CAF).
walimuona ila nimeshakupa muongozo huko juu kuwa Simba na Yanga kwa hapa nchini ni biashara hivyo hazigusiki kirahisi
 
Mikia hawataki kuwepo mjini wakati wa Parade ya wananchi,ndiyo maana wamekimbia mji, lakini chopa ikiwa na kombe itafanya Parade kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karuta 😀😀😀
 
Hiyo taarifa ya kuwepo mchezaji ambaye hajakamilisha usajili sikuitoa mimi bali wao wenyewe wenye mamlaka (TFF, CAF).
walimuona ila nimeshakupa muongozo huko juu kuwa Simba na Yanga kwa hapa nchini ni biashara hivyo hazigusiki kirahisi
Ulisema walitakiwa kushushwa daraja, ndo maana nimekuuliza mbona FIFA hajatoa adhabu, hajashinikiza Yanga kushuhwa daraja. Mbona CAF hawakukata point za Yanga. Je FIFA na CAF nazo zimeshindwa kuigusa Yanga?
 
Nnacho fahamu ni kwamba katika msimu mmoja timu inaruhusiwa kuchagua viwanja viwili tu nje ya ya kuwanja chake cha nyumbani katika msimu huu Simba washa tumia Kirumba na Jamhuri Morogoro kwenda nje ya uwanja wao wa nyumbani ni kinyume na kanuni
kirumba, morogoro, chamazi na mkapa......
wametumia viwanja vinne
 
Back
Top Bottom