TFF na Bodi ya ligi mlisema utafuatilia Rushwa kwenye michezo haswa kipindi hiki ligi ipo mwishoni. Je, mmeona goli walilonyimwa Tabora United?

TFF na Bodi ya ligi mlisema utafuatilia Rushwa kwenye michezo haswa kipindi hiki ligi ipo mwishoni. Je, mmeona goli walilonyimwa Tabora United?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kuna mikakati maalumu (kabambe) imeeandaliwa ili lastborn Simba SC ashike nafasi ya pili Hilo lipo wapi.

Goli walilofunga Tabora united na kudhurumiwa goli HIZO ni Juhudi za wazi kabisa kuwa Simba SC wametengenezewa mazingira ya kushika nafasi ya pili ili Azam FC ashike nafasi ya tatu

TFF na Bodi ya Ligi mnapaswa kutenda haki na siyo kuzungumza huku mpo nyuma ya pazia kuhakikisha timu YENU Pendwa kushika nafasi ya pili
 
Wapewe basi....
Nyie wanga wakubwa. .hamjaona marefa waliotoa uamuzi kwny mechi zenu...wamepigwa faini kwa kuwabeba?? Na maamuzi yao ya hovyo tena mechi mbili mfululizo ...
Haya Kagera sugar wakanyimwa bao lao...unapata wapi confidence ya kuandika utopolo wako..
 
Kuna mikakati maalumu (kabambe) imeeandaliwa ili lastborn Simba SC ashike nafasi ya pili Hilo lipo wapi.

Goli walilofunga Tabora united na kudhurumiwa goli HIZO ni Juhudi za wazi kabisa kuwa Simba SC wametengenezewa mazingira ya kushika nafasi ya pili ili Azam FC ashike nafasi ya tatu

TFF na Bodi ya Ligi mnapaswa kutenda haki na siyo kuzungumza huku mpo nyuma ya pazia kuhakikisha timu YENU Pendwa kushika nafasi ya pili
Mbona ya ZABONA MAYOMBYA wa Prison kupewa Red Card ya dhuluma ili Yanga ashinde uliuchuna. Red Card imefutwa na Waamuzi wameonywa Point Utopolo kabeba
 
Wapewe basi....
Nyie wanga wakubwa. .hamjaona marefa waliotoa uamuzi kwny mechi zenu...wamepigwa faini kwa kuwabeba?? Na maamuzi yao ya hovyo tena mechi mbili mfululizo ...
Haya Kagera sugar wakanyimwa bao lao...unapata wapi confidence ya kuandika utopolo wako..
Hahahahaha
 
Hawa marefa wanaoibeba yanga mchana peupe wataenda kuchezesha mavi yao..waamuzi wa kitanzania wanaweza kuiwezesha timu mbovu ikaibuka mshindi kwasababu ya siasa,rushwa na ushabiki..mfano mechi ile ya kagera na yanga,kagera wameshinda goli la alali wakazulumiwaa na refa..sasa muamuzi kama huyo ataenda wap?waamuzi wa Tanzania wengi wanaibeba yanga ...yanga hana uwezo ni tia tia maji tu
 
Wana Simba tusimame na timu yetu mi nawaambia mkiwafata Yanga na propaganda zao timu itawashinda..
Huu huu wanaouita uonevu wao wameafanyiwa favour na marefa mara nyingi zaidi yetu..
 
Malalamiko ya kipumbavu yanatia doa uzuri wa ligi yetu; kuna ambao mambo yaisipoenda wanavyotaka basi hulalamika mpaka kuvuka mipaka.
 
Wewe ukizeeka hakikisha unarithi mikoba ya uchawi toka kwa babu zako
 
Back
Top Bottom