Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni tabora sie nafasi yetu hatuwezi kuparuana na nyinyiWaliokerwa humu na wanaotoa mapovu ni Tabora au nyie vyura?
Angalia vzr huko juu dogo...hao ni wenzako..ni tabora sie nafasi yetu hatuwezi kuparuana na nyinyi
acha makasiriko Kalpana nikushauri kwasasa acha kidogo kufatilia maswala ya mpira!,pumzika uvute pumzi utulize saikolojia yako.. sahivi ukiona hata mtu amekomenti dot we utahisi tu anaisema simba! na unaona kila anaeisema Simba basi ni yanga!.Angalia vzr huko juu dogo...hao ni wenzako..
Ile ya kumvuta jess Aziz Ki huko mchezaji huyo akiwa ndo wa mwisho?Ya mwamuzi kumpa mchezaji wa coastal Union red card uliita hii bodi?
Mhhh kwamba na utani wa jadi tuache kisa timu yangu inanipa stress...hao waliokimbia timu yao kwa sasa wanaipenda kipindi cha raha ni ndumila kuwili...acha makasiriko Kalpana nikushauri kwasasa acha kidogo kufatilia maswala ya mpira!,pumzika uvute pumzi utulize saikolojia yako.. sahivi ukiona hata mtu amekomenti dot we utahisi tu anaisema simba! na unaona kila anaeisema Simba basi ni yanga!.
fanya uvute pumzi timu lako linakupa stress sana kwasasa..!
IlifutwaIle ya kumvuta jess Aziz Ki huko mchezaji huyo akiwa ndo wa mwisho?