acha makasiriko Kalpana nikushauri kwasasa acha kidogo kufatilia maswala ya mpira!,pumzika uvute pumzi utulize saikolojia yako.. sahivi ukiona hata mtu amekomenti dot we utahisi tu anaisema simba! na unaona kila anaeisema Simba basi ni yanga!.
fanya uvute pumzi timu lako linakupa stress sana kwasasa..!