TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

England Ligue Yao ni Bora baran ulaya..ila marefa wao hata wedi kapu hawaitwi ...we umechukulia kigezo gan ili refa aitwe Caf?
 
Unakumbuka penalty ya Fei toto dhidi ya Namungo msimu uliopita?? Unakumbuka penalty ngapi tata mlizopewa?

Mkuu, tatizo sio timu tatizo ni waamuzi wana uwezo mdogo wa kuchezesha, pia wanaziogopa hizi Simba na Yanga.
Hapa kirumba Kuna mchezaj wa yanga kakwatuliwa nje kabisa ya 18 ila refa kafunika
 
Sasa nimegundua ni kwa nini marefa wetu hawaitwi kuchezesha mechi za kimataifa.

Kuanzia mechi ya Azam FC dhidi ya Dodoma waamuzi waliochezesha ile mechi ni utumbo mtupu tena Azam FC wananyimwa goli sijui TFF na Bodi ya ligi mnaawaadhibu vipi hao marefa.

Tazama mechi ya Singida Fountain Gate FC dhidi ya Simba SC Kuna makosa mengi sana yaliyofanywa na waamuzi mpaka unajiuliza hivi hawa marefa huwa wanajifunza sheria kweli?

Ukifuatilia mpira kwa makini unagundua kuwa refalii wapo kwa ajili ya kuzilinda Simba na Yanga tu maana wao Wana mashabiki ambapo watakapo ona wanazulumiwa ni lazima wapige kelele kwenye mitandao.

Kwa uchezeshaji huu ni ngumu sana kwa marefa kuitwa katika mechi za kimataifa na ukizingatia ligi yetu inakua kila siku inaongeza wafatiliaji na mashabiki wapya kutoka nchi za jirani na kimataifa pia.

TFF na Bodi ya ligi Kama mtaendelea kukaa kimya juu ya huu utumbo Basi ni wazi mnaitia doa ligi yetu na wapenzi wa mpira tutaamini kuwa nyinyi ndiyo mnabariki haya Madudu yanayofanywa na marefa.
Mimi nakushauri kwamba ni bora uuchune tu. TFF wakisoma huu uzi wataifungi hiyo ID yako kujishughulisha na maswala ya soka.
 
Punguza ushabiki, angalia Mpira vizuri , wakati beki anamzuia Kibu upande wa kushoto kwake Kuna beki mwingine alikuwa mbele yake ndani ya box lao kufanya marking kama Kibu asingeangushwa! Refa alikuwa sahihi rejea picha za video utaona vizuri lile tukio , sawa kolo wizard? Mmebebwa Leo goli halali la Singapore Big Stars limekataliwa na Sasa inatia kinyaa kuangalia mechi zenu, Simba kwasasa mpira hamjui mnalazimisha ushindi!
Mbio zenu za ubingwa zitaishia jangwani tutaweka full mkoko na kuwakanda ndani nje!

Nawashauri Singida big Stars mkalalamike Fifa ubovu wa TFF kuweka marefa wa msimbazi, Leo mlistahili ushindi mmeonewa msikubali maana mtaonewa Kila mechi na uonevu utaendelezwa Kwa timu zingine underdog!

Kweli Simba mbumbumbu wamejaa mwenye akili mmoja tu Rage the Great Nampa maua yake now now [emoji259][emoji1651][emoji254][emoji255][emoji260][emoji262][emoji272][emoji253][emoji255][emoji2530][emoji816][emoji258]
Acha ufara we ni mtu mzima
 
Hapa viongozi wa timu zingine washtuke mapema. Hapa Jambo liko wazi Simba wanatengenezewa nafasi ya kuwa bingwa makusudi kabisa. Mwaka huu ndio umeanza mapema sana marefa kuvuruga. Walianzia ngao ya jamii,ikalazimishwa lazimiahwa ili mradi tu simba achukue. Imeanza kwa kasi ligi kuu. Viongozi wa timu zingine washtuke mapema
 
Hapa viongozi wa timu zingine washtuke mapema. Hapa Jambo liko wazi Simba wanatengenezewa nafasi ya kuwa bingwa makusudi kabisa. Mwaka huu ndio umeanza mapema sana marefa kuvuruga. Walianzia ngao ya jamii,ikalazimishwa lazimiahwa ili mradi tu simba achukue. Imeanza kwa kasi ligi kuu. Viongozi wa timu zingine washtuke mapema
TATIZO WAKIONGEA WANAFUNGIWA NA NDIYO MAANA SISI TUNAPIGA MAKELELE.
 
Ujinga wenu ni kwamba kila mmoja wenu hulalamika pale timu yake inapokuwa chin katika msimamo, mambo haya katika misimu miwili ya yanga kuchukua ubingwa yalitamalaki na wao walikuwa wanajibu kuwa kila mmoja ashinde mechi zake, leo wanaona waamuz hawako fair,

Je, hawakuiona penat dhidi ya namungo msim uliopita, mpira alishika mchezaji wa yanga na penati wakapewa yanga

Je, hawakuona goli la kusawazisha 2-2 dhidi ya azam, mpira ulitoka nje kabla haujarudishwa ndan na kuzaa goli.

Je, ilikuwa fair kwa yanga kufungwa goli mpira ukiwa nyavuni refa akasema ni kona?

TUJISAHIHISHE
 
Ujinga wenu ni kwamba kila mmoja wenu hulalamika pale timu yake inapokuwa chin katika msimamo, mambo haya katika misimu miwili ya yanga kuchukua ubingwa yalitamalaki na wao walikuwa wanajibu kuwa kila mmoja ashinde mechi zake, leo wanaona waamuz hawako fair,

Je, hawakuiona penat dhidi ya namungo msim uliopita, mpira alishika mchezaji wa yanga na penati wakapewa yanga

Je, hawakuona goli la kusawazisha 2-2 dhidi ya azam, mpira ulitoka nje kabla haujarudishwa ndan na kuzaa goli.

Je, ilikuwa fair kwa yanga kufungwa goli mpira ukiwa nyavuni refa akasema ni kona?

TUJISAHIHISHE
JE UMESOMA SAWA SAWA BANDIKO MKUU.

RUDIA TENA KUSOMA
 
Back
Top Bottom