3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
ngoja tuoneYanga ya msimu huu inapiga nje ndani! Ikifungwa, basi ni sare. Hivyo haiwezi kuogopa kucheza viwanja vya nje.
Tatizo ule uwanja umefikia kiwango cha mwisho kabisa cha ubora! Kiukweli haufai kuchezea hata mashindano ya bonanza.