Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Umeona kazi hiyo?Hicho kikosi cha pili cha Simba ndio kimemfanya Mayele aonekane kidogo, tena kipindi cha pili.
Nashangaa Simba kwanini leo hawajafungwa goli saba.Mkumbuke Yanga bado gari alijawaka, wameshinda Kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na jitihada za pamoja.
Yanga wakija kukaa sawasawa na wachezaji kufahamiana vyema, kunasiku timu itafungwa magoli mengi ambayo msimu uliopita hayajatokea.
Yule mdhuungu wa MAKOLO......ni MANDONGA MWEUPE ( Alikamwe, 2022)Huu mpira anaoupiga Mayele sio wa Afrika hii. Kuna namna Yanga wamefanya. Haiwezekani mchezaji hatari kama Mayele achezee timu hizi za Kitanzania.
CAF na TFF waimulike Yanga na ikiwezekana waiadhibu .
Mayele analeta imbalance uwanjani.
Yule mdhuungu wa MAKOLO......ni MANDONGA MWEUPE ( Alikamwe, 2022)
................
Mwamed naskia kamaindi huko[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2323328
Dah.. topolo la 2029View attachment 2323451
Dogo anakula tizi aje aizike kabisa kolo FC kipindi hicho sisi tuko wazee