CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Ndugu zangu narudia tena hiyo hela ya kuhangaika kwenda taifa kuangalia ujinga wa bongo subiri january ukaangalie makundi lunyasi hapo ni kama tutakuwa hatujahamia Rwanda.
Haijulikani hadi sasa watu wamehongwa kiasi gani kinawchowatoa akili kwamba simba amdharau kit supplier wake anayempa one billion a year achukue milions 60 za matapeli ya gsm kit supllier wa li team libovu la utopolo kisa kuna majitu yamepata kick backs rushwa tu.
Mabango bado yako pembeni kuna asilimia 90 baadaye mpira hauchezwi.
CEO Barbra baaadaye hata neno g likionekana uwanjani hakuna kuingiza team waishushe daraja wakachukue na makomandoo wakalipue pale msimbazi makao makuu ya team we dont give a https://jamii.app/JFUserGuide. Kwendeni hukoo tumewachooka.
GSM msisahau kufadhili marefarii hawana nauli bana tena yule wa vs Namungo mmuongezee hela kabisa
Haijulikani hadi sasa watu wamehongwa kiasi gani kinawchowatoa akili kwamba simba amdharau kit supplier wake anayempa one billion a year achukue milions 60 za matapeli ya gsm kit supllier wa li team libovu la utopolo kisa kuna majitu yamepata kick backs rushwa tu.
Mabango bado yako pembeni kuna asilimia 90 baadaye mpira hauchezwi.
CEO Barbra baaadaye hata neno g likionekana uwanjani hakuna kuingiza team waishushe daraja wakachukue na makomandoo wakalipue pale msimbazi makao makuu ya team we dont give a https://jamii.app/JFUserGuide. Kwendeni hukoo tumewachooka.
GSM msisahau kufadhili marefarii hawana nauli bana tena yule wa vs Namungo mmuongezee hela kabisa