TFF na GSM wamedhamiria mechi isichezwe: mabango bado yapo

TFF na GSM wamedhamiria mechi isichezwe: mabango bado yapo

dude likisikia simba wako mahala linahangaika walipe attention wanazunguka mbaaaliii kuhonga mababab yenye njaa na visions fui wapate mileage, simba haitoi kick kiseeeengeeeeseenge bana ,vunja bei kijana mdogo anatoa milion 85 kwa mwezi kutengeneza kits katengeneza miamvuli, mabegi, diary jezi za watoto matapeli yalikuwa wapi sijui ndiyo yameiga last week mwaka jana yalikuwa busy kutengeneza madera, eti simba wakuvae begani kwa milion 3.5 kwa mwezi..heeeee aiseeee yaani hii vita mbona mtafurahia show
Unajua GSM ni lidude likubwa sana.

Yaani halielezeki.
 
Kwani shida ni nini? Mbona upuuzi mtupu?
shida ni kwamba home shopping centre wamegundua utopwinyo haina kick afrika , simba ndiyo mahala sahihi kwao kujulikana, wafanyaje sasa wameenda kwa wazee wa TFF wasiyo na vision wala aibu kupitiisha hongo zao, yaani simba awe na nembo mbili za kit suppliers, fred vunja bei anayetoa billion moja kwa mwaka na home shopping centre anayetoa milion 30 kwa mwaka kupitia TFF kwa mkataba usiyooleweka ambao ni siri kali isiyotakiwa kuhojiwa
 
leo matapeli ya mpira tuko nayo sambamba kwa taarifa yenu simba haiwezi kumuacha kit supllier wake anayetoa billions 1 kwa mwaka ikavaa takataka za kit supplier wa utopolo kwa milioni 30 kwa mwaka hakuna ujinga huo pumbavu zao hizo hela wakampe zeruzeru akanununue lotions za ngozi
Sasa utafanyaje kwa mfano, autoingiza timu uwanjani au? Kumbuka mechi ya leo lazima ichezwe upende usipende, akuna kuhairisha mechi leo, na ikihairishwa mjue point 3 muhimu anabeba yanga bila jasho
 
Tatizo hapo sio mabango tatizo hapo ni hofu na uoga wa kufungwa na Yanga mmeshapata pakutokea mkitaka leteni timu Kama hamtaki vaeni ondokeni
 
sasa leo hamna tena sababu ya kutoroka kipigo as nembo imeshaondolewa.
tukutane uwanjani leo tunawapiga 3 kwa 1.
Kama mabango yapo timu hailetwi uwanjani. Habari za kipigo. Mpira ni dakika 90 ngoja tuone
 
Yule kanjibai alitaka waweke mo sabuni wakati aja toa pesa
 
Haina haja ya kuyatoa hayo mabango. GSM ni mdhamini wa Yanga hivyo kwakuwa Yanga ipo uwanjani ni sawa tu hayo mabango yawepo.

Ni sahihi kuyatoa yale mabango yaliyokuwepo kwenye benchi la Simba tu.

Hata sisi mashabiki wa Yanga tunaruhusiwa kuja na Bango lililoandikwa 'Yanga tawi la GSM Makao makuu'
 
Haina haja ya kuyatoa hayo mabango. GSM ni mdhamini wa Yanga hivyo kwakuwa Yanga ipo uwanjani ni sawa tu hayo mabango yawepo.

Ni sahihi kuyatoa yale mabango yaliyokuwepo kwenye benchi la Simba tu.

Hata sisi mashabiki wa Yanga tunaruhusiwa kuja na Bango lililoandikwa 'Yanga tawi la GSM Makao makuu'
hakunaga mkataba wa kulazimishana , kama vipi ishusheni simba daraja, kwani lazima kupokea millions 5 ya matapeli ya gsm kwa mwezi?
 
hakunaga mkataba wa kulazimishana , kama vipi ishusheni simba daraja, kwani lazima kupokea millions 5 ya matapeli ya gsm kwa mwezi?
Kwa taarifa yenu. Kwa kutamka tu neno GSM, ujue tayari mshaitangaza GSM bila malipo.

Hivyo kwa siku mbili tu GSM ameshanufaika kwa kiasi kikubwa. Ni heri mgenyamaza tu
 
Back
Top Bottom