kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #21
Unajisikiaje ukiangalia ule mpira mzuri na watu wanashinda kwa haki ila sio kwa hila!Hii ndio shida ya hizi mambo yaani mkishajiona mguu mmoja upo nje basi mnaanza kumtafuta mchawi.
Radha x. Ladha βHersi na GSM wanaharibu radha ya ligi yetu
Wapi nilipoandika mimi ni kolo!Kolo wa kizimkazi
Juu ya nini?Simba alilipwa sh ngapi
Mlivopigwa mara nne mfululizoJuu ya nini?
Umri wako?Mlivopigwa mara nne mfululizo
Nawakumbusha wenye mamlaka kuhusu tabia za viongozi wa hiyo timu!Mbona unalia Kwa maandishiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Kichapo Cha mara 4 mfulilizo naona kimepita na akili zako Sasa umebaki na mavi kichwaniUmri wako?
Leta uthibitisho wa hiyo tabia za viongozi wa hiyo timuNawakumbusha wenye mamlaka kuhusu tabia za viongozi wa hiyo timu!
Tff na Takukuru wafuatilie kwa karibu mipango ya wahuni!Kichapo Cha mara 4 mfulilizo naona kimepita na akili zako Sasa umebaki na mavi kichwani
Unajifanya huijui wala huangalii mpira!Leta uthibitisho wa hiyo tabia za viongozi wa hiyo timu
Tunahitaji marefa watuonee huruma tunakwenda uwanjani sio hao wa vibanda umiza!Jamani waacheni Utopolo wacheze Dabi yao...inaitwa Mwigulu Dabi...πππ
Leta uthibitisho unabwabwaja niniUnajifanya huijui wala huangalii mpira!
Leta uthibitishoTff na Takukuru wafuatilie kwa karibu mipango ya wahuni!
Mawazoo mgandoo tuuu hayoTFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
mimi nakuelewa mkuu hiki kipindi ni kigumu sana so hamna namna ni kutafuta Kwa kutokea tuππTFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
ππmimi nakuelewa mkuu hiki kipindi ni kigumu sana so hamna namna ni kutafuta Kwa kutokea tuππ
Rushwa inaharibu ladha ya mpira!Mawazoo mgandoo tuuu hayo