Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Singida wameambiwa ole wao wakaze afu washinde au watoe droo waone, boss anawatosaNa uzuri zimekutana A na B
Kwani kuna mtu kacheza zako!Wee Kipara Kipya, kila mtu acheze mechi zake ! Kwa nini mnafatilia sana mechi za Yanga ??? Kila akishinda mnatafuta sababu mara ooh bahasha mara ooh timu za GSM zimeuza mechi !!
TFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
Tunataka mpira usio na chembe ya hila!Wengi wakiwemo mashabiki wa simba wanataka singida black stars iikande yanga ndio iwe furaha yao. Ikifika zamu ya simba nao wakandwe ili ubingwa msimu huu yanga na simba zipoteze
Ndio wewe ulivyo!
kanyoko fc leo lazma wafeTFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
Ni weweNdio wewe ulivyo!
Picha yako wala hujakosea!Ni wewe
Hakika Lage hakukosea.gemu za makolo zimejsa makandokando kibao ila hamsemi.mara hoo!singida tawi la yanga,kama ni tawi lao kwanii watoe rushwa kwa waamuzi?kuwaelewa makolo inatakiwa uwe na akili za kiwendawazimu.TFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
Lage=Rage!Hakika Lage hakukosea.gemu za makolo zimejsa makandokando kibao ila hamsemi.mara hoo!singida tawi la yanga,kama ni tawi lao kwanii watoe rushwa kwa waamuzi?kuwaelewa makolo inatakiwa uwe na akili za kiwendawazimu.
Hamieni BurundiHersi na GSM wanaharibu radha ya ligi yetu
Metacha ni kipa wa yanga mshahara wake unalipwa na GSM!Leo kuna red card ya kujitafutia kwa singida hapa naiona kabisa.
Kama ilivyo Camara SpidermanMetacha ni kipa wa yanga mshahara wake unalipwa na GSM!
Kafanyaje?Kama ilivyo Camara Spiderman