TFF na Takukuru ongezeni umakini mechi ya leo kuna tetesi waamuzi wamelipiwa kila kitu!

TFF na Takukuru ongezeni umakini mechi ya leo kuna tetesi waamuzi wamelipiwa kila kitu!

Wee Kipara Kipya, kila mtu acheze mechi zake ! Kwa nini mnafatilia sana mechi za Yanga ??? Kila akishinda mnatafuta sababu mara ooh bahasha mara ooh timu za GSM zimeuza mechi !!
 
Watoto wa baba mmoja,kila kitu kimeshapangwa usiku ni utekelezaji tu,ligi yetu imekuwa ya kuchezwa nje ya uwanja,gsm anajiona yuko bora kwa kununua waamuzi
 
Wee Kipara Kipya, kila mtu acheze mechi zake ! Kwa nini mnafatilia sana mechi za Yanga ??? Kila akishinda mnatafuta sababu mara ooh bahasha mara ooh timu za GSM zimeuza mechi !!
Kwani kuna mtu kacheza zako!
 
TFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
IMG-20240410-WA0160.jpg
 
Wengi wakiwemo mashabiki wa simba wanataka singida black stars iikande yanga ndio iwe furaha yao. Ikifika zamu ya simba nao wakandwe ili ubingwa msimu huu yanga na simba zipoteze
Tunataka mpira usio na chembe ya hila!
 
TFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
Hakika Lage hakukosea.gemu za makolo zimejsa makandokando kibao ila hamsemi.mara hoo!singida tawi la yanga,kama ni tawi lao kwanii watoe rushwa kwa waamuzi?kuwaelewa makolo inatakiwa uwe na akili za kiwendawazimu.
 
Hakika Lage hakukosea.gemu za makolo zimejsa makandokando kibao ila hamsemi.mara hoo!singida tawi la yanga,kama ni tawi lao kwanii watoe rushwa kwa waamuzi?kuwaelewa makolo inatakiwa uwe na akili za kiwendawazimu.
Lage=Rage!
 
Back
Top Bottom