Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa nadharia tu.....Rushwa inaharibu ladha ya mpira!
Simba kafungwa, Azam kafungwa na hao ndio tegemeo la kupunguza Yanga Speed, kama hao marefu huko hawakupewa fedha na jamaa wamekandwa. Hao Singida Fountain Gates watapiga TU. Mbaya zaidi hata wenyewe wanacheza ugenini hawajazoea huo uwanja. Yanga wamecheza mara nyingi sana huo uwanja wanaufahamu. Kipondo kisiwe kisingizio refa.TFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
Nadharia inaadha halafu inafuata uhalisia!Inaweza kuwa nadharia tu.....
Hawakushinda kwa uwezo wameshinda kwa msaada wa marefa!Simba kafungwa, Azam kafungwa na hao ndio tegemeo la kupunguza Yanga Speed, kama hao marefu huko hawakupewa fedha na jamaa wamekandwa. Hao Singida Fountain Gates watapiga TU. Mbaya zaidi hata wenyewe wanacheza ugenini hawajazoea huo uwanja. Yanga wamecheza mara nyingi sana huo uwanja wanaufahamu. Kipondo kisiwe kisingizio refa.
Pia tukumbuke marefa ni watu sio robot Wala hatumii AI hivyo makosa ya kibinadamu yasifanywe ni fimbo na kuwa kichaka Cha rushwa.
Ukiitwa mahakamani uthibitishe huu ujinga wako utaweza?Unasajili halafu unahonga waamuzi faida iko ya kusajili!
Unaweza thibitisha, kumbuka refa ni kazi ya mtu. Akisimamishwa kwa tuhuma za kijinga kama hizi atakwenda mahakamani na mtapaswa kudhibitisha. Mnaweza?Hawakushinda kwa uwezo wameshinda kwa msaada wa marefa!
Halafu wanabana puaaaaaaaaaaaa,tutakua bingwa wa klabu bingwaaaaaaaaaaa,wakati huku kushinda hadi timu moja ipungue mchezaji ndio washinde,Fumbaf zaoTFF tunataka kuangalia mpira wa haki kuna habari chini ya kapeti waamuzi wamekwisha chukua bahasha zao na wamelipiwa huduma zote,
Hapo hapo Takukuru pia wafuatilie mechi zinazoihusu yanga wanatuharibia mpira wetu!
Tunaangalia ligi za ulaya kwa utulivu hakuna kushika ndani ya box au mzize katoa mpira badala ya goli kiki inageuka kona faida kwa yanga!Nafurahi kuona jinsi Kolo wanavyoteseka
Tangulia na mafaili kamsaidie kufungua kesi!Unaweza thibitisha, kumbuka refa ni kazi ya mtu. Akisimamishwa kwa tuhuma za kijinga kama hizi atakwenda mahakamani na mtapaswa kudhibitisha. Mnaweza?
Warahisishie kazi Tff na takukuru kwa kuwaonyesha ushahidi kuwa malefa wamepewa bahasha.Tff na Takukuru wafuatilie kwa karibu mipango ya wahuni!
Unao ushahidi ebu ulete, wewe na timu yako mlihongwa Bei Gani mpaka mkapakatwa mechi 4 mfululizo? Kama timu yenu inahongwa Ina maana viongozi akuna pale kuanzia bossi wenu Mo!Unasajili halafu unahonga waamuzi faida iko ya kusajili!
Uwe na uelewa pamezungumzwa marefa unakuja hapa bila kunawa uso!Unao ushahidi ebu ulete, wewe na timu yako mlihongwa Bei Gani mpaka mkapakatwa mechi 4 mfululizo? Kama timu yenu inahongwa Ina maana viongozi akuna pale kuanzia bossi wenu Mo!
Sanaa wenye kukubali mambo yenye maslahi kwa wengi kuharibiwa kwa rushwa kufaidisha wachache!Hii nchi ina mbumbumbu wengi sana.