GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ratiba iliyokuwepo ilikuwa Weekend hii Simba SC icheze na Mbeya City FC na Yanga SC wacheze na Ihefu FC.
Mmeibadilisha juu kwa juu hii Ratiba na sasa Simba SC itacheza na Dodoma Jiji FC na Yanga SC nao watacheza nadhani na Ruvu Shooting FC.
Hivi TFF ni kwanini mnapenda mno Kuvibeba, Kuvilinda na Kuvidekeza hivi Vilabu Vikongwe Viwili vya Simba na Yanga?
Sasa mbona pamoja na Kuvibeba kote huku kila Siku hakuna wanachokifanya Kimataifa huku Mmoja akiwa na DNA ya kuishia Robo Fainali tu ya CAFCL na Mwingine akiwa na DNA ya kuishia hatua za awali na Kufungwa Magoli mengi?
Na huu Upuuzi wenu haujaishia tu hapa kwani hata katika Kuchagua Wachezaji wa Taifa Stars Kipaumbele chenu ni Kujaza Kwanza Wachezaji wengi wa Simba na Yanga kisha wa Vilabu vingine mnafanya Kujazilia tu.
Nachukia Simba na Yanga Kubebwa nanyi TFF na ndiyo maana Soka letu lipo pale pale tu na linadema dema Kutwa.
Mmeibadilisha juu kwa juu hii Ratiba na sasa Simba SC itacheza na Dodoma Jiji FC na Yanga SC nao watacheza nadhani na Ruvu Shooting FC.
Hivi TFF ni kwanini mnapenda mno Kuvibeba, Kuvilinda na Kuvidekeza hivi Vilabu Vikongwe Viwili vya Simba na Yanga?
Sasa mbona pamoja na Kuvibeba kote huku kila Siku hakuna wanachokifanya Kimataifa huku Mmoja akiwa na DNA ya kuishia Robo Fainali tu ya CAFCL na Mwingine akiwa na DNA ya kuishia hatua za awali na Kufungwa Magoli mengi?
Na huu Upuuzi wenu haujaishia tu hapa kwani hata katika Kuchagua Wachezaji wa Taifa Stars Kipaumbele chenu ni Kujaza Kwanza Wachezaji wengi wa Simba na Yanga kisha wa Vilabu vingine mnafanya Kujazilia tu.
Nachukia Simba na Yanga Kubebwa nanyi TFF na ndiyo maana Soka letu lipo pale pale tu na linadema dema Kutwa.