TFF pigeni marufuku Ile shangilia ya Tariq Seif

TFF pigeni marufuku Ile shangilia ya Tariq Seif

Ganda Mweri

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2018
Posts
303
Reaction score
887
Nikiwa kama mmojawapo ya wadau wakubwa wa soka la nchi hii, na muumini wa maadili mema katika Kila nyanja, sipendezwi na Ile shangilia.

Kwa wadau wote wa mpira nadhani mnaona Ile shangilia hadi Hawa vijana wa u-20, wa hizi Timu za ligi kuu wameiga.

Ni aina ya ushangiliaji wa udhalilishaji na kukosa heshima, Naomba TFF na wadau wote wa fair play tuipinge hii style kuelekea msimu mpya wa soka.

AHSANTENI
 
Naaam .....
Nafikiri kunashangilia nyingi Sana ,tungejua maana zao ,wanamaanisha Nini na je ujumbe uwafikie wakina nani
 
Nikiwa kama mmojawapo ya wadau wakubwa wa soka la nchi hii, na muumini wa maadili mema katika Kila nyanja, sipendezwi na Ile shangilia.

Kwa wadau wote wa mpira nadhani mnaona Ile shangilia hadi Hawa vijana wa u-20, wa hizi Timu za ligi kuu wameiga.

Ni aina ya ushangiliaji wa udhalilishaji na kukosa heshima, Naomba TFF na wadau wote wa fair play tuipinge hii style kuelekea msimu mpya wa soka.

AHSANTENI
naunga mkono hoja hii

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Hupendezwi acha kuangalia. Mimi napendezwa nayo, sioni iko na shida yoyote
 
Nikiwa kama mmojawapo ya wadau wakubwa wa soka la nchi hii, na muumini wa maadili mema katika Kila nyanja, sipendezwi na Ile shangilia.

Kwa wadau wote wa mpira nadhani mnaona Ile shangilia hadi Hawa vijana wa u-20, wa hizi Timu za ligi kuu wameiga.

Ni aina ya ushangiliaji wa udhalilishaji na kukosa heshima, Naomba TFF na wadau wote wa fair play tuipinge hii style kuelekea msimu mpya wa soka.

AHSANTENI
Mchezaji mwenyewe sijawahi kumuelewa anacheza nini!!
 
Walipoiiga wale wa U 20 nilijiulizia Wana maanisha Nini? Nikawaza Kwa sauti ....,,kumbe walishalowea kuleee,[emoji117][emoji117][emoji117][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Unaisema style ipi??? Au unaisema ile kama wanapakua kautelezi kichura chura
 
Mbona unawaza matusi tu?! Style safi kabisa ile. Napendekeza Taifa Stars waitumie.
 
Nikiwa kama mmojawapo ya wadau wakubwa wa soka la nchi hii, na muumini wa maadili mema katika Kila nyanja, sipendezwi na Ile shangilia.

Kwa wadau wote wa mpira nadhani mnaona Ile shangilia hadi Hawa vijana wa u-20, wa hizi Timu za ligi kuu wameiga.

Ni aina ya ushangiliaji wa udhalilishaji na kukosa heshima, Naomba TFF na wadau wote wa fair play tuipinge hii style kuelekea msimu mpya wa soka.

AHSANTENI
Mmoja ashee picha bas
 
Back
Top Bottom