Ganda Mweri
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 303
- 887
Nikiwa kama mmojawapo ya wadau wakubwa wa soka la nchi hii, na muumini wa maadili mema katika Kila nyanja, sipendezwi na Ile shangilia.
Kwa wadau wote wa mpira nadhani mnaona Ile shangilia hadi Hawa vijana wa u-20, wa hizi Timu za ligi kuu wameiga.
Ni aina ya ushangiliaji wa udhalilishaji na kukosa heshima, Naomba TFF na wadau wote wa fair play tuipinge hii style kuelekea msimu mpya wa soka.
AHSANTENI
Kwa wadau wote wa mpira nadhani mnaona Ile shangilia hadi Hawa vijana wa u-20, wa hizi Timu za ligi kuu wameiga.
Ni aina ya ushangiliaji wa udhalilishaji na kukosa heshima, Naomba TFF na wadau wote wa fair play tuipinge hii style kuelekea msimu mpya wa soka.
AHSANTENI