TFF tafuteni kocha

TFF tafuteni kocha

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Kwa miaka mingi Tanzania imekuwa nyuma kimpira ikishika nafasi ya zaidi 120 duniani, hakuna maendeleo mazuri timu ya taifa na wahusika wapo tu ni kama tumeridhika na hiyo nafasi tuliyonayo. TFF TAFUTENI KOCHA mwenye CV nzuri. Maendeleo ya mpira yanataka uwekezaji. Tunahitaji Kocha anayeweza kuja kuibua vipaji na kupandikiza ujuzi wa mpira kwa wachezaji wetu.
 
Kwa miaka mingi Tanzania imekuwa nyuma kimpira ikishika nafasi ya zaidi 120 duniani, hakuna maendeleo mazuri timu ya taifa na wahusika wapo tu ni kama tumeridhika na hiyo nafasi tuliyonayo. TFF TAFUTENI KOCHA mwenye CV nzuri. Maendeleo ya mpira yanataka uwekezaji. Tunahitaji Kocha anayeweza kuja kuibua vipaji na kupandikiza ujuzi wa mpira kwa wachezaji wetu.
Huku kwetu bado wapo kutetea Wazawa ambao work ever done =0

Siasa na hizi nyimbo za uzalendo zinapotosha sana....uzalendo unaanza pale utani na kuoneana aibu kunapokoma.
 
Kwa miaka mingi Tanzania imekuwa nyuma kimpira ikishika nafasi ya zaidi 120 duniani, hakuna maendeleo mazuri timu ya taifa na wahusika wapo tu ni kama tumeridhika na hiyo nafasi tuliyonayo. TFF TAFUTENI KOCHA mwenye CV nzuri. Maendeleo ya mpira yanataka uwekezaji. Tunahitaji Kocha anayeweza kuja kuibua vipaji na kupandikiza ujuzi wa mpira kwa wachezaji wetu.
Kocha anaokoteza wachezaji, halafu hivi Tanzania hatuna namba 9 wa kwelikweli?, Hata kati ya vijana milioni 2 wa kitanzania hawawezi kupatikana vijana 10 ambao wako vizuri Taifa likajivunia?
 
kinachowaponza TFF ni kuendekeza ubabaishaji, kupenda kuajiri makocha wa bei nafuu, na wa kuokoteza! Imagune kocha anaajiriwa, ila ukiisoma CV yake unaona kabusa wameajiri kichekesho tu!

Hivi katika hali tu ya kawaida; watu kama Hemed Morocco au yule Amrouch! Wana CV gani za kuifunza timu ya Taifa!!
 
Watu wanasema tuwape timu makocha wazawa, sasa unajiuliza huyo kocha mzawa ni kitu Gani amewahi ku-deliver mpaka tumpe timu... Hawa akina Mgunda, Morocco cjui matola hawana jipya... Ww jiulize watu hawana exposure yoyote yaani hawajawahi hata kujikomaza kwenda nje ya Tanzania kupambania timu yoyote waifundishe ili wapate ukomavu... Wenyewe akili zao zimeishia kufundisha vitimu vya Tanzania sijui Namungo, Jkt, Dodoma Jiji... Hata hivyo vitimu wakipewa hakuna la maana washawahi kufanya... Kwa miaka ya hivi karibuni Kidogo Felix Minziro aliifundisha Geita ikawa competitive timu na mpira ulikua unaoneka....


Hata wachezaji hatuna.. wachezaji wanawaza kucheza Simba na yanga akili zao zimeishia hapo.. Wenzetu mataifa engine ya Afrika hususani Afrika magharibi timu zao taifa wachezaji CV zao wanacheza ulaya mwanza mwisho, sisi wachezaji wetu WA Simba sijui yanga wanafundishwa na akina matola ndo tushindane na wenzetu kweli...

Sasa Jana likocha limejanza maviungo wakabaji utafikiri tunacheza na France, limeweka akina Kibabage eti ndo watufungie magoli... Likocha limewaacha akina Samatta na Msuva kwa sababu za kijinga,
 
Huku kwetu bado wapo kutetea Wazawa ambao work ever done =0

Siasa na hizi nyimbo za uzalendo zinapotosha sana....uzalendo unaanza pale utani na kuoneana aibu kunapokoma.
shida sio uzalendo shida ushikaji kwenye kazi.
makocha wazawa wawezeshwe wataweza tuu...kwani boli kitu gani bwana wewe sii ukijua danadana unajua tuu
 
Makocha wazawa wana nongwa na vinyongo na wachezaji wakubwa kina Samatta na Msuva. Hatuendelei kisoka mpaka hawa kina Morocco watolewe, hivi kina Balua na Kibabage kweli ndo wakuwaweka nje Msuva na Samatta?

Tupaze sauti Samatta na Msuva warudishwe Stars na wacheze mechi na Guinea otherwise Kipigo kitakuwa kikubwa mno.

Mudathir bonge la mchezaji unamuwekaje benchi? we kocha Morocco wa Stars ni bogus kabisa.

Shame on TFF
 
Kwa miaka mingi Tanzania imekuwa nyuma kimpira ikishika nafasi ya zaidi 120 duniani, hakuna maendeleo mazuri timu ya taifa na wahusika wapo tu ni kama tumeridhika na hiyo nafasi tuliyonayo. TFF TAFUTENI KOCHA mwenye CV nzuri. Maendeleo ya mpira yanataka uwekezaji. Tunahitaji Kocha anayeweza kuja kuibua vipaji na kupandikiza ujuzi wa mpira kwa wachezaji wetu.
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom