Angelala?Na kwanini alivyomaliza mpira akimbie?
Si ndo hapa bhanaAngelala?
Hawa nyuma kuna mwiko waazimwe akili.Si ndo hapa bhana
Dodoma Jiji 1-0 YangaHili halina ubishi kwamba msimu huu 2024/2025 marefa wameamua kuibeba timu ya Simba Kila mechi. Hali hii ilianza taratibu na sasa ndio imekuwa kawaida Kila mechi Simba ambayo ni timu choko lazima itafutiwe ushindi wa mchongo au kupewa penati ili tu ionekane imeshinda.
TFF badala ya kuchukuwa hatuna stahiki inaangalia tu. Iko siku tabia hii italeta maafa mchezoni maana hata majuzi mechi ya kimataifa ya kombe la Shirikisho kati ya Simba na timu Ile Toka Tunisia ilisababisha vurugu na viti vya uwanja wa Benjamini Mkapa kung'olewa .
TFF Chukueni hatua maana usipojenga ufa utajenga ukuta.
Penalty gani iliyotoka ya kubebwa? Acha chuki kalaleHili halina ubishi kwamba msimu huu 2024/2025 marefa wameamua kuibeba timu ya Simba Kila mechi. Hali hii ilianza taratibu na sasa ndio imekuwa kawaida Kila mechi Simba ambayo ni timu choko lazima itafutiwe ushindi wa mchongo au kupewa penati ili tu ionekane imeshinda.
TFF badala ya kuchukuwa hatuna stahiki inaangalia tu. Iko siku tabia hii italeta maafa mchezoni maana hata majuzi mechi ya kimataifa ya kombe la Shirikisho kati ya Simba na timu Ile Toka Tunisia ilisababisha vurugu na viti vya uwanja wa Benjamini Mkapa kung'olewa .
TFF Chukueni hatua maana usipojenga ufa utajenga ukuta.
Wana sonona ya kuburuza mkia wa kundi lao kwenye klabu bingwa Afrika.Pena
Penalty gani iliyotoka ya kubebwa? Acha chuki kalale
Uandishi wako unaonyesha ni kijana wa utopolo 🤓Hunijui sikujui, aliyekudanganya kwamba Mimi ni kijana ni nani ?
Umekerwa na nini zaidi wewe utopolo?Hunijui sikujui, aliyekudanganya kwamba Mimi ni kijana ni nani ?