TFF Toeni tamko juu ua marefa wanaoibeba timu ya simba kila inapocheza mechi

TFF Toeni tamko juu ua marefa wanaoibeba timu ya simba kila inapocheza mechi

Ungekuwa na hoja ungezungumzia kwanza goli la maradouto dhidi ya prisons Alafu ungekuja kwa wale mabeki wa jkt kwanza kiprotocol Simba ilibidi wapewe penalty mbili kwa mpigo maana kuna beki alishika mpila na mwengine alimfanyia faulo Kapombe au ulikuwa unamsikiliza mtangazaji wa Tbc na foni zako za buku?kama huna tv angaliaga hata kibanda umiza kama ela ya kiingilio huna wahi mapema kafagie uangalie bure.
 
Hili halina ubishi kwamba msimu huu 2024/2025 marefa wameamua kuibeba timu ya Simba Kila mechi. Hali hii ilianza taratibu na sasa ndio imekuwa kawaida Kila mechi Simba ambayo ni timu choko lazima itafutiwe ushindi wa mchongo au kupewa penati ili tu ionekane imeshinda.

TFF badala ya kuchukuwa hatuna stahiki inaangalia tu. Iko siku tabia hii italeta maafa mchezoni maana hata majuzi mechi ya kimataifa ya kombe la Shirikisho kati ya Simba na timu Ile Toka Tunisia ilisababisha vurugu na viti vya uwanja wa Benjamini Mkapa kung'olewa .

TFF Chukueni hatua maana usipojenga ufa utajenga ukuta.
Hapi umenena mkuu...
Mm naona kama board ya mpira imeamua kuuza ligi kwa timu ya simba ili hali ichukue ubingwa kwa mbereko.
 
Back
Top Bottom