Ungekuwa na hoja ungezungumzia kwanza goli la maradouto dhidi ya prisons Alafu ungekuja kwa wale mabeki wa jkt kwanza kiprotocol Simba ilibidi wapewe penalty mbili kwa mpigo maana kuna beki alishika mpila na mwengine alimfanyia faulo Kapombe au ulikuwa unamsikiliza mtangazaji wa Tbc na foni zako za buku?kama huna tv angaliaga hata kibanda umiza kama ela ya kiingilio huna wahi mapema kafagie uangalie bure.