Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) limesema bado linaendelea na harakati za kuhakikisha Benard Kamungo anaitumikia Tanzania kwenye michuano mbalimbali
Mkurugenzi wa ufundi wa TFF amesema hata kama Benard Kamungo atacheza timu ya Taifa ya Marekani chini ya umri wa miaka 23 kwenye michuano ya Olimpiki 2024 bado atakuwa na nafasi ya kuitumikia timu ya wakubwa ya Tanzania (Taifa Stars) kama ambavyo baadhi ya wachezaji nyota wengi wamewahi kufanya kwenye mataifa mbalimbali ulimwenguni
Mkurugenzi wa ufundi wa TFF amesema hata kama Benard Kamungo atacheza timu ya Taifa ya Marekani chini ya umri wa miaka 23 kwenye michuano ya Olimpiki 2024 bado atakuwa na nafasi ya kuitumikia timu ya wakubwa ya Tanzania (Taifa Stars) kama ambavyo baadhi ya wachezaji nyota wengi wamewahi kufanya kwenye mataifa mbalimbali ulimwenguni