TFF: Tunaendelea kupambana kuhakikisha Bernard Kamungo anaitumikia Tanzania

TFF: Tunaendelea kupambana kuhakikisha Bernard Kamungo anaitumikia Tanzania

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) limesema bado linaendelea na harakati za kuhakikisha Benard Kamungo anaitumikia Tanzania kwenye michuano mbalimbali

Mkurugenzi wa ufundi wa TFF amesema hata kama Benard Kamungo atacheza timu ya Taifa ya Marekani chini ya umri wa miaka 23 kwenye michuano ya Olimpiki 2024 bado atakuwa na nafasi ya kuitumikia timu ya wakubwa ya Tanzania (Taifa Stars) kama ambavyo baadhi ya wachezaji nyota wengi wamewahi kufanya kwenye mataifa mbalimbali ulimwenguni

20231009_214247.jpg
 
Back
Top Bottom