Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mrundi kabisa.Kwani Kamungo ni Mtanzania au Mrundi?
Mbona wachezaji wa kibongo wanapata posho nzuri wakichezea timu kibwa za bongo! Mfano feisal analipwa milioni 16 kwa mwezi.Mwacheni kijana atengeneze pesa huko.
Mbona mna roho mbaya hivi? Nyie mtampa nini hapa?
Mngeanza kwanza kuwafanyia mema wachezaji waliopo hapa ili maisha yao yanyanyuke.
Tunaongelea Taifa stars.Mbona wachezaji wa kibongo wanapata posho nzuri wakichezea timu kibwa za bongo! Mfano feisal analipwa milioni 16 kwa mwezi.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hakuna haja ya kupambana, dawa ni katiba kuwa kama ya Kenya inayosema kuwa mtu yeyote aliyezaliwa Tanzania ni raia wa Tanzania hata akihamia nchi nyingine na kuchukua uraia wa huko alikohamia. Marekani ina wakenya wengi ambao ni raia wa marekani lakini bado ni wakenya na wanaitumikia kenya kwenye mambo ya kimataifa, lakini Tanzania kuna watu wa ajabu sana ambao wanaamua kuwatupilia mbali ndugu zao eti kwa sababu wamechukua uraia wa nje bila hata kujua mazingira yaliyopelekea ndugu zao hao wakachukua uraia huo wa nje.Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) limesema bado linaendelea na harakati za kuhakikisha Benard Kamungo anaitumikia Tanzania kwenye michuano mbalimbali
Mkurugenzi wa ufundi wa TFF amesema hata kama Benard Kamungo atacheza timu ya Taifa ya Marekani chini ya umri wa miaka 23 kwenye michuano ya Olimpiki 2024 bado atakuwa na nafasi ya kuitumikia timu ya wakubwa ya Tanzania (Taifa Stars) kama ambavyo baadhi ya wachezaji nyota wengi wamewahi kufanya kwenye mataifa mbalimbali ulimwenguni
View attachment 2777167
Tff wanamjua na alishawahi kuitwa Taifa stars Ila hakucheza sababu hazijulikani labda huko Tff ndani wanajua.Tff walikuwa usingizi
gani Mpaka kijana akaamua kuchezea u23 ya usa ? Au walikuwa hawamjui Mpaka juzi alivyocheza dhidi ya timu ya Messi wakaamka usingizini ? Walitaka kijana awabembeleze ?
Tff imelala tena usingizi wa pono kwenye suala la kuandaa afcon match za ufunguzi na fainali kenya wakiwa hata uwanja wa maana hawana wameanza kuleta fitna wao ndio waandae hizo match ikiwa TZ ndio imechangia kwa kiasi kikubwa kufanikisha afcon 2027 kuja kuchezwa ukanda huuTff walikuwa usingizi
gani Mpaka kijana akaamua kuchezea u23 ya usa ? Au walikuwa hawamjui Mpaka juzi alivyocheza dhidi ya timu ya Messi wakaamka usingizini ? Walitaka kijana awabembeleze ?