TFF tusomeeni upesi sana hiyo barua iliyofika mchana huu kwa DHL ili Wanasimba tujimwage mitaani

TFF tusomeeni upesi sana hiyo barua iliyofika mchana huu kwa DHL ili Wanasimba tujimwage mitaani

Status
Not open for further replies.
Kwa habari za chini ya Kapeti ambazo bado naendelea kuzihakiki zinasema kwamba hatimaye tayari FIFA wameshafanya maamuzi juu ya Rufaa ya Simba SC na kwamba kuna barua imeshatumwa tena kwa DHL kwenda TFF ikiwa na maamuzi kuwa Simba SC ndiyo washindi wa rufaa yao na kwamba zile points 3 walizopewa na Kamati ya Saa 72 ni halali ila TFF wanaogopa kutangaza kwa kuhofia pengine fujo zitatoteka.

Ewe Mwanasimba SC popote ulipo kuanzia muda huu anza sasa kujiandaa kwenda mitaani kushangilia kwani sasa ni rasmi kuwa Simba SC ndiyo Bingwa wa VPL na muda wowote TFF watatangaza.

Hongereni sana Uongozi wa Simba SC na hasa Mzee wetu Ismail Aden Rage kwa kuipigania haki ya Simba SC ambayo hatimaye kupitia TFF leo tumeipata na sasa Wanasimba tunaanza kujiandaa kusheherekea Ubingwa.

Mwanasimba yoyote upatapo tu taarifa hii mtaarifu na mwanasimba mwenzio na anzeni sasa kufanya mazoezi ya kuushangilia Ubingwa ambao ni haki yetu na tumeuhangaikia kwa muda mrefu. Na kama kuna Mtu aliye karibu hapo na Msemaji wa TFF Bwana Alfred Lucas tafadhali mwambieni awaite Press ( Wana Habari ) na atangaze kilichopo katika hiyo barua iliyowafikia kwa njia ya DHL mchana huu.

Leo nina furaha ya ajabu kwanza......

  1. Liverpool FC tumeingia nne bora
  2. Serengeti Boys jana imeyaaga mashindano huko Gabon
  3. Simba SC imepewa haki yake na FIFA na Simba SC sasa ndiyo mshindi rasmi wa VPL.
Wana Yanga FC wote duniani pote poleni sana na sasa mnaweza tu kwenda kushangilia na wale Vyura wenu mnaowafuga pale Uwanjani Kaunda ila taarifa iwafikieni kuwa FIFA wameipa Simba SC ushindi na tuleteeni upesi sana Kombe letu kabla hatujalifuata wenyewe.
Mkuu kutolewa kwa Serengeti boys wewe kumbe umefurahi
 
View attachment 512836
Barua yetu ilikua na uzito wa 1.50 Kg naomba nijue majibu ya FIFA yamefika angalau 2kg ili angalau nipate matumaini sisi mikia tumepata za mezani.
Barua ya TFF kwenda kwa simba ilisema kuwa simba wamenyang'anywa point walizopewa na kamati ya masaa 72 kwa makosa kwani mchezaji husika hakuwa na kadi 3.
 
Ha ha ha we akili yako ya ki interahamwe tu. Yaani barua aandike SIMBA Sc kwenda FIFA, majibu apewe TFF. Kwani TFF ndiyo iliyokata rufaa?

Kama TFF watapewa nakala, mwandikiwa mwenye original ni simba. Onesheni mlichojibiwa
 
GENTAMYCINE Kumbuka Unaheshima Kubwa Sana Hii Habari Ni Ya Hatari Sana Kama Ni Ya Uongo
 
Kwa habari za chini ya Kapeti ambazo bado naendelea kuzihakiki zinasema kwamba hatimaye tayari FIFA wameshafanya maamuzi juu ya Rufaa ya Simba SC na kwamba kuna barua imeshatumwa tena kwa DHL kwenda TFF ikiwa na maamuzi kuwa Simba SC ndiyo washindi wa rufaa yao na kwamba zile points 3 walizopewa na Kamati ya Saa 72 ni halali ila TFF wanaogopa kutangaza kwa kuhofia pengine fujo zitatoteka.

Ewe Mwanasimba SC popote ulipo kuanzia muda huu anza sasa kujiandaa kwenda mitaani kushangilia kwani sasa ni rasmi kuwa Simba SC ndiyo Bingwa wa VPL na muda wowote TFF watatangaza.

Hongereni sana Uongozi wa Simba SC na hasa Mzee wetu Ismail Aden Rage kwa kuipigania haki ya Simba SC ambayo hatimaye kupitia TFF leo tumeipata na sasa Wanasimba tunaanza kujiandaa kusheherekea Ubingwa.

Mwanasimba yoyote upatapo tu taarifa hii mtaarifu na mwanasimba mwenzio na anzeni sasa kufanya mazoezi ya kuushangilia Ubingwa ambao ni haki yetu na tumeuhangaikia kwa muda mrefu. Na kama kuna Mtu aliye karibu hapo na Msemaji wa TFF Bwana Alfred Lucas tafadhali mwambieni awaite Press ( Wana Habari ) na atangaze kilichopo katika hiyo barua iliyowafikia kwa njia ya DHL mchana huu.

Leo nina furaha ya ajabu kwanza......

  1. Liverpool FC tumeingia nne bora
  2. Serengeti Boys jana imeyaaga mashindano huko Gabon
  3. Simba SC imepewa haki yake na FIFA na Simba SC sasa ndiyo mshindi rasmi wa VPL.
Wana Yanga FC wote duniani pote poleni sana na sasa mnaweza tu kwenda kushangilia na wale Vyura wenu mnaowafuga pale Uwanjani Kaunda ila taarifa iwafikieni kuwa FIFA wameipa Simba SC ushindi na tuleteeni upesi sana Kombe letu kabla hatujalifuata wenyewe.
Ni barua au machine??? maana sitaki kuamini barua itumwe kwa DHL tena kwa TFF wakati mlalamikaji ni mkia sc.
 
402dc3ace0e75f08b8202ed621a231ef.jpg

Marinda yapo kweli hapa?
 
Kwa habari za chini ya Kapeti ambazo bado naendelea kuzihakiki zinasema kwamba hatimaye tayari FIFA wameshafanya maamuzi juu ya Rufaa ya Simba SC na kwamba kuna barua imeshatumwa tena kwa DHL kwenda TFF ikiwa na maamuzi kuwa Simba SC ndiyo washindi wa rufaa yao na kwamba zile points 3 walizopewa na Kamati ya Saa 72 ni halali ila TFF wanaogopa kutangaza kwa kuhofia pengine fujo zitatoteka.

Ewe Mwanasimba SC popote ulipo kuanzia muda huu anza sasa kujiandaa kwenda mitaani kushangilia kwani sasa ni rasmi kuwa Simba SC ndiyo Bingwa wa VPL na muda wowote TFF watatangaza.

Hongereni sana Uongozi wa Simba SC na hasa Mzee wetu Ismail Aden Rage kwa kuipigania haki ya Simba SC ambayo hatimaye kupitia TFF leo tumeipata na sasa Wanasimba tunaanza kujiandaa kusheherekea Ubingwa.

Mwanasimba yoyote upatapo tu taarifa hii mtaarifu na mwanasimba mwenzio na anzeni sasa kufanya mazoezi ya kuushangilia Ubingwa ambao ni haki yetu na tumeuhangaikia kwa muda mrefu. Na kama kuna Mtu aliye karibu hapo na Msemaji wa TFF Bwana Alfred Lucas tafadhali mwambieni awaite Press ( Wana Habari ) na atangaze kilichopo katika hiyo barua iliyowafikia kwa njia ya DHL mchana huu.

Leo nina furaha ya ajabu kwanza......

  1. Liverpool FC tumeingia nne bora
  2. Serengeti Boys jana imeyaaga mashindano huko Gabon
  3. Simba SC imepewa haki yake na FIFA na Simba SC sasa ndiyo mshindi rasmi wa VPL.
Wana Yanga FC wote duniani pote poleni sana na sasa mnaweza tu kwenda kushangilia na wale Vyura wenu mnaowafuga pale Uwanjani Kaunda ila taarifa iwafikieni kuwa FIFA wameipa Simba SC ushindi na tuleteeni upesi sana Kombe letu kabla hatujalifuata wenyewe.
Yaani we kilaza uliyepitiliza toka lini FIFA wakatuma taarifa zake kupitia DHL? Fifa wanatumia fax only sasa endelea kusubiri mpaka mwezi wa 8 ndio watatoa wakati ligi inaanza upya [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom