Habari wanamichezo wenzangu
Naangalia ufunguzi wa ligi ya mpira wa miguu kwa vijana chini ya miaka 20, mechi ni kati ya Yanga na Kagera
Kwa mshangao naona wachezahi wa timu zote umri umezidi yaani VIJEBA
Je, huu udanganyifu wa umri wahusika hawajauona au ni lipi hasa lengo la haya mashindano?
Naangalia ufunguzi wa ligi ya mpira wa miguu kwa vijana chini ya miaka 20, mechi ni kati ya Yanga na Kagera
Kwa mshangao naona wachezahi wa timu zote umri umezidi yaani VIJEBA
Je, huu udanganyifu wa umri wahusika hawajauona au ni lipi hasa lengo la haya mashindano?