TFF, vazi nadhifu ni lipi?

TFF, vazi nadhifu ni lipi?

Sasa nyie gongowazi si mkubali tu makosa ya mwl wa timu yenu?!!!
Lile lijamaa lilikosea siku ile, cha kufanya mngeongea naye na kufanya mikakati ya timu yenu kuangalia namna timu yenu itacheza bila mwalimu kuwepo katika benchi la ufundi..
Zahera ana dalili ya dharau ndio mana alijikalia kwao weeee na kusahau kuwahi kuja kupanga timu yake na maandalizi ya ligi!..
.
.
Nawashauri liangalieni hili pia ikiwezekana mmkanye na kumpa utaratibu kulialia kwenu haukusaidii
Kama Zahera asingeiandaa timu kama usemavyo basi ingeshatoleo kwenye championship league. Kama Simba ikiandaliwa vizuri mbona haiko CL? Yaani Ruvu kuifunga Yanga ni sehemu ya mchezo wa mpira, hata huko duniani huwa inatokeaga Tu. Na kwabahati nzuri Msolla, Mwakalebela, Mkwasa, Mayai n.k ni watu wa mpira huwa wanalifahamu hilo.
 
Ndugu yangu hawana kisasi na Mwl tu. Wanakisasi hadi na Yanga eti kisa UD Songo!
Sasa Yanga waliwatuma Ud songo kuitoa mikia? Na bahati mbaya au nzuri Yanga walikuwa zao mbali kipindi hicho mikia wanachomolewa battery
 
Kama Zahera asingeiandaa timu kama usemavyo basi ingeshatoleo kwenye championship league. Kama Simba ikiandaliwa vizuri mbona haiko CL? Yaani Ruvu kuifunga Yanga ni sehemu ya mchezo wa mpira, hata huko duniani huwa inatokeaga Tu. Na kwabahati nzuri Msolla, Mwakalebela, Mkwasa, Mayai n.k ni watu wa mpira huwa wanalifahamu hilo.
Great..............great..........
 
Wewe mwalimu wako aliyewahi mbona unasubiri kupangiwa na Ihefu fc kombe la azam?Hao TP ,Esperance,ahly na Yanga utazidi kuwaona kwa kideo.msiishi kwa mazoea.
Sasa nyie gongowazi si mkubali tu makosa ya mwl wa timu yenu?!!!
Lile lijamaa lilikosea siku ile, cha kufanya mngeongea naye na kufanya mikakati ya timu yenu kuangalia namna timu yenu itacheza bila mwalimu kuwepo katika benchi la ufundi..
Zahera ana dalili ya dharau ndio mana alijikalia kwao weeee na kusahau kuwahi kuja kupanga timu yake na maandalizi ya ligi!..
.
.
Nawashauri liangalieni hili pia ikiwezekana mmkanye na kumpa utaratibu kulialia kwenu haukusaidii
 
Wewe mwalimu wako aliyewahi mbona unasubiri kupangiwa na Ihefu fc kombe la azam?Hao TP ,Esperance,ahly na Yanga utazidi kuwaona kwa kideo.msiishi kwa mazoea.
Sina kinyongo na yanga kabisa,,,nyie chezeni huko kimataifa na nawatakia kila la kheri kiroho safi kabisa! Nawasubiri vpl tu huku ndio vita yetu iliko!
 
Wewe mwalimu wako aliyewahi mbona unasubiri kupangiwa na Ihefu fc kombe la azam?Hao TP ,Esperance,ahly na Yanga utazidi kuwaona kwa kideo.msiishi kwa mazoea.
Sina kinyongo na yanga kabisa,,,nyie chezeni huko kimataifa na nawatakia kila la kheri kiroho safi kabisa! Nawasubiri vpl tu huku ndio vita yetu iliko!
 
Vazi nadhifu Kwa mmasai linaweza lisiwe nadhifu Kwa Mchagga. Kama hakuna juhudi ya kutoa fafsiri ya maana ya vazi nadhifu hakutakuwepo na tafsiri moja ya vazi nadhifu.
Askali wa kikoloni walikuwa wanavaa kaptula, je hawakuwa nadhifu?

Kocha Mwinyi Zahera kapewa adhabu na tff eti Kwa kosa la kutovaa nadhifu, yaani kavaa kaptula na t-shirt ya pollo.

Adhabu kama hii inalitia aibu taifa na shilikisho.

Tff toeni maelezo/description ya nini maana ya vazi nadhifu ili muondoshe subjectivity kwenye kanuni yenu, vinginevyo Zahera ana haki ya kukata rufaa.

Hivi kocha akiamua kuvaa bukta ya timu yake au track suit ni kosa??
 
Back
Top Bottom