TFF, VODACOM, STAR T.V walipanga kuihujumu Yanga?

kipindupindu, makombe yaliandaliwa mawili tayari kwa lolote, naweka kumbukumbu7 sawa teeh tteeh
 
Bora hata ushukuru hawakuwaonesha hao Yanga na Watoto wao, wala usingefurahia ubingwa....Matokeo ni ya kupangwa ...wazi wazi kabisa. Mnanunua mechi sijui kwa faida ya nani...CAF kila mwaka ni wahapahapa tu.

Matunge = Madenge wa SANI
 

acha porojo mkuu,mwanza hakukuwa na kombe la kweli!kuna mantiki gani ya kuwapa simba kombe la zamani na yanga jipya?kubali walichemka tu !
 
kipindupindu, makombe yaliandaliwa mawili tayari kwa lolote, naweka kumbukumbu7 sawa teeh tteeh

kulikuwa na kombe halisi(TAIFA) na kombe feki(KIRUMBA)
swali ni kwamba kwa nini kombe halisi liende Taifa?TFF walirusha shilingi?lazima tuwe na taratibu zinazoguide mambo kama haya sio kufuata wishes za mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…