PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kuna kipindi bosi wa Tanzania Farmers Association huwa anajisahau na kujikuta anatembea mitaanibakiwa ameshika kijiko.Kuna baadhi ya watendaji wanafanya TFF ionekane genge la wahuni
Ile U-turn waliyoipiga TFF kutoka kwa Leodegar Chilla Tenga kwenda kwa huyu aliyepo, mpaka leo sikuwahi kuielewa kabisa.