TFF wanapanga matokeo dhidi ya Yanga

TFF wanapanga matokeo dhidi ya Yanga

Kwa hiyo pamoja na kupendelewa wachezaji wenu hawajafungiwa wakati walifanya makosa ya kufungiwa ili wacheze na simba bado mnaona simba inapendelewa! kweli nyinyi ni timu ndogo.
 
Utopolo ni Maharamia wa mpira wa Tanzania dhamira yao ni kulalamika lalamika ili wapate wepesi. Hawafuati taratibu ... uwanjani wanajiingilila watakavyo, na wanavyoamua, wanachimba mashimo uwanjani na kufukia fukia matakataka yao, nk
 
1. Diarra
2. Yao
3. Kibwana
4. Bacca ndio maana kwenye derby alitoka kabla ya 90'
5. Mwamnyeto
6. Mkude/mauya na baadae ataingia mdathiri ili kutengeneza double pivot na aucho
7. Moloko
8. Aucho
9. Msonda
10. Aziz ki
11. Max zengeli.

Hapa tunashinda mbili.
Kikubwa twende na nidhamu, morali na mbinu sahihi za master
 
1. Diarra
2. Yao
3. Kibwana
4. Bacca ndio maana kwenye derby alitoka kabla ya 90'
5. Mwamnyeto
6. Mkude/mauya na baadae ataingia mdathiri ili kutengeneza double pivot na aucho
7. Moloko
8. Aucho
9. Msonda
10. Aziz ki
11. Max zengeli.

Hapa tunashinda mbili.
Kikubwa twende na nidhamu, morali na mbinu sahihi za master


wamesahau yakwamba yanga wanakikosi kipana.
 
Nyie si mamelodi bana...mna kosi kuubwaaa....chezesheni wale ambao hawakucheza ili wengine wapumzike...
 
Silaha kubwa ya TFF katika kupanga matokeo ni Ratiba ya ligi ambao kanuni za mpira zinaheshimika Ratiba ya ligi haibadiliki na inakua FAIR kwa timu zote shiriki.

Yanga wanawafuata coastal J5 inalazimu kusafiri baada ya mechi ngumu dhidi ya simba iliyochezeshwa J'2 halafu ndani ya siku 3 pamoja na kusafiri, ubovu wa kiwanja cha Mkwakwani Yanga inakwenda Mkwakwani wakiwa wanaiwaza mechi ya belouizdad fc kwa hiyo wanaiendea mechi ya Coastal Union kwa tahadhari nyingi, simba wapo Dar dhidi ya Namungo Fc (Mjukuu wao) mechi isiyotegemewa kuwasumbua simba kwa ukaribu walionao na Namungo

Yanga wanakutana na wapinzani wao wengine wa ki historia Coastal Union ambao hawaja safiri na mara ya mwisho kucheza ilikua tarehe 01/11/2023 na mechi zao 3 mfululizo wamecheza nyumbani hawajatoka ndio wanakutana na Yanga iliyotoka kucheza na simba tar 05/11/2023

Yaani TFF wamehakikisha Yanga inakutana na Coastal iliozoea uwanja bila uchovu wa kusafiri mechi 2 kuindea mechi na Yanga.

HALAFU USEME TFF HAIPANGI MATOKEO Kwa ambao hawajawahi kuongoza timu za Premier League hayajui haya

TFF ya Karia ni Maharamia wa mpira wa Tanzania dhamira yao kubeba timu moja Tanzania ndio azma yao kuu
Na Yanga tulivo watu wabad ni kutembeza mboko tu mechi zote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
sasa hivi imekua Yanga inashirikiana na TFF na sio Simba tena?😁 tukubalini ukweli mechi ya Simba na Yanga , Tanga yetu kacheza mpira mzuri Sana msitafute mchawi au mtu wa kumuangushia lawama.
 
Silaha kubwa ya TFF katika kupanga matokeo ni Ratiba ya ligi ambao kanuni za mpira zinaheshimika Ratiba ya ligi haibadiliki na inakua FAIR kwa timu zote shiriki.

Yanga wanawafuata coastal J5 inalazimu kusafiri baada ya mechi ngumu dhidi ya simba iliyochezeshwa J'2 halafu ndani ya siku 3 pamoja na kusafiri, ubovu wa kiwanja cha Mkwakwani Yanga inakwenda Mkwakwani wakiwa wanaiwaza mechi ya belouizdad fc kwa hiyo wanaiendea mechi ya Coastal Union kwa tahadhari nyingi, simba wapo Dar dhidi ya Namungo Fc (Mjukuu wao) mechi isiyotegemewa kuwasumbua simba kwa ukaribu walionao na Namungo

Yanga wanakutana na wapinzani wao wengine wa ki historia Coastal Union ambao hawaja safiri na mara ya mwisho kucheza ilikua tarehe 01/11/2023 na mechi zao 3 mfululizo wamecheza nyumbani hawajatoka ndio wanakutana na Yanga iliyotoka kucheza na simba tar 05/11/2023

Yaani TFF wamehakikisha Yanga inakutana na Coastal iliozoea uwanja bila uchovu wa kusafiri mechi 2 kuindea mechi na Yanga.

HALAFU USEME TFF HAIPANGI MATOKEO Kwa ambao hawajawahi kuongoza timu za Premier League hayajui haya

TFF ya Karia ni Maharamia wa mpira wa Tanzania dhamira yao kubeba timu moja Tanzania ndio azma yao kuu
Ila yanga mnapenda kulalamika sana yule takadini kawalemaza vibaya sana.
 
Silaha kubwa ya TFF katika kupanga matokeo ni Ratiba ya ligi ambao kanuni za mpira zinaheshimika Ratiba ya ligi haibadiliki na inakua FAIR kwa timu zote shiriki.

Yanga wanawafuata coastal J5 inalazimu kusafiri baada ya mechi ngumu dhidi ya simba iliyochezeshwa J'2 halafu ndani ya siku 3 pamoja na kusafiri, ubovu wa kiwanja cha Mkwakwani Yanga inakwenda Mkwakwani wakiwa wanaiwaza mechi ya belouizdad fc kwa hiyo wanaiendea mechi ya Coastal Union kwa tahadhari nyingi, simba wapo Dar dhidi ya Namungo Fc (Mjukuu wao) mechi isiyotegemewa kuwasumbua simba kwa ukaribu walionao na Namungo

Yanga wanakutana na wapinzani wao wengine wa ki historia Coastal Union ambao hawaja safiri na mara ya mwisho kucheza ilikua tarehe 01/11/2023 na mechi zao 3 mfululizo wamecheza nyumbani hawajatoka ndio wanakutana na Yanga iliyotoka kucheza na simba tar 05/11/2023

Yaani TFF wamehakikisha Yanga inakutana na Coastal iliozoea uwanja bila uchovu wa kusafiri mechi 2 kuindea mechi na Yanga.

HALAFU USEME TFF HAIPANGI MATOKEO Kwa ambao hawajawahi kuongoza timu za Premier League hayajui haya

TFF ya Karia ni Maharamia wa mpira wa Tanzania dhamira yao kubeba timu moja Tanzania ndio azma yao kuu
Wakati Yanga wanacheza mechi tatu mfululizo Dar mbona mlikua kimya
 
Back
Top Bottom