[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni Simba nakuona tu unacomment thread za Yanga.
Thread za simba huendi, Alafu comment yako swali ni Moja tu [emoji1787] poleee kolooo
Sema 🦁 out,mamelody out Wananchi nayeee⛹️♂️⛹️♂️Mnajaza seva za Jf bila sababu ya maana.
Yanga OUT.
SIMBA OUT FULL STOP
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo sasa mnataka mechi irudiwe kisa mlinyimwa kona? Kesho mtarudi tena kutaka mechi irudiwe au mpewe ushindi wa mezani kisa hamkupewa mpira wa kurushwa
Makolokolo okoeni hili jitu lenu, hamulionei huruma linavyoteseka kwa unafki kuponda washabiki wa Yanga na Simba lakini kila uzi wa soka lipo [emoji848][emoji23]
Huyo chizi nahisi anahitaji mwa saikolojiMakolokolo okoeni hili jitu lenu, hamulionei huruma linavyoteseka kwa unafki kuponda washabiki wa Yanga na Simba lakini kila uzi wa soka lipo [emoji848][emoji23]
Yaani pale yule mwamuzi tayari alishakuwa amechanganyikiwa. Muda ule akikini mwake vitu vingi vilikuwa vinapitia kichwani mwake. Unajua uwizi au dhambi yoyote kubwa lazima imchanganye. Ndio maana wanakuambia ukiua mtu,ile damu tu inakuchanganya unaweza kuanza kuropoka tu . Pale alihama kabisa kiutendaji kwa ile dhamb
Hapana, ukiangalia Kwa umakini ule mpira uliingia lakini kwenye kutua umepiga kwenye mstari, CAF hawana goal line technology na sheria zao zinataka mpira uwe umevuka mstari Kwa 100% na sio kugusa mstari.Yaani pale yule mwamuzi tayari alishakuwa amechanganyikiwa. Muda ule akikini mwake vitu vingi vilikuwa vinapitia kichwani mwake. Unajua uwizi au dhambi yoyote kubwa lazima imchanganye. Ndio maana wanakuambia ukiua mtu,ile damu tu inakuchanganya unaweza kuanza kuropoka tu . Pale alihama kabisa kiutendaji kwa ile dhambi
Madunduka reasoning zenu ni very poor, RAGE azidi kuheshimiwa.Nakukumbusha tu timu yenu ni kongwe yenye miaka zaidi ya 80. Kwa hiyo kuwa na robo fainal moja ambayo haikufanyi uitwe mwakarobo , ukitumia akili yako vizuri huwezi kujivunia kwa hilo.
We kweli utopolo, hapo unajiona eti una hoja. Kwanza ujue timu lenu kongwe lenye miaka 80 kabla hii robo ya juzi ilikuwa imeshiriki makundi mwaka 1998 .Yaani zaidi ya miaka 20 iliyofuatana uto haikuingia makundi. Hayo mashindano yana miaka karibu 60 tangu kuanzishwa kwake.Madunduka reasoning zenu ni very poor, RAGE azidi kuheshimiwa.
Ndio timu zina miaka zaidi ya 80, vipi na mashindano nayo yanaikaribia hiyo miaka?
Peke yako ndio uliebakia kupindisha ukweli. Hata kama ni ushabiki usikufanye ukajilamisha uwe kipofu. Lile goal halihitaji hata VAR. Hata lilivyoingia tu tayari likaandikwa goal.Hapana, ukiangalia Kwa umakini ule mpira uliingia lakini kwenye kutua umepiga kwenye mstari, CAF hawana goal line technology na sheria zao zinataka mpira uwe umevuka mstari Kwa 100% na sio kugusa mstari.
Unaona sasa unavyothibitisha nilichokisema?We kweli utopolo, hapo unajiona eti una hoja. Kwanza ujue timu lenu kongwe lenye miaka 80 kabla hii robo ya juzi ilikuwa imeshiriki makundi mwaka 1998 .Yaani zaidi ya miaka 20 iliyofuatana uto haikuingia makundi. Hayo mashindano yana miaka karibu 60 tangu kuanzishwa kwake.
Ni mwendawazimu tu ataicheka timu iliyokuwa inaishia robo fainal wakati timu lake likiishia hatua za awali.